• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi ikayotekezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YA MADIWANI WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 31st, 2018

Kamati ya  fedha ,uongozi na mipango ya madiwani  wa Halmashauri ya wilaya ya Malinyi imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo katika eneo la Misegese leo tarehe 29/08/2018 miradi iliyotembelewa ni ,Ujenzi wa makao makuu ya Halmashauri, ujenzi wa madarasa mawili katika shule Tarajali Saratogo, ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa na matundu sita ya vyoo.

Ujenzi wa jengo la makao mkuu ya halmashauri ya wilaya ya Malinyi  unajengwa na mkandarasi  NHC(National Housing Co-operation)  wakiambatana na mhandisi mshauri  TBA(Tanzania Building Agency) kwa gharama ya sh billion 3.8 kutoka serikali kuu.  Ujenzi wa vyumba vya madarasa mawili katika shule tarajali ya Saratogo eneo la misegese,  umegharimu sh milioni ishirini kutoka katika mapato ya ndani ya Halmashauri  ikijumuisha na nguvu za wananchi,  pia vyumba vitatu vya madarasa na matundu sita ya vyoo  vinajengwa kwa fedha kutoka serikali kuu shilingi milioni 66,600,000/= P4R , vilevile madiwani hao walitembelea eneo  linalotarajiwa kujengwa  Hospital ya Wilaya katika kijiji cha Misegese kitongoji cha Mwembeni.Miradi  hiyo ya madarasa katika shule zote mbili imefikia hatua ya mwisho ya kumaliziwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA AJIRA LA MADEREVA NA MAKATIBU MAHSUSI September 14, 2018
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2018 December 14, 2017
  • JUMAMOSI YA WIKI YA MWISHO NI SIKU YA USAFI March 26, 2018
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2018(WASICHANA) December 14, 2017
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Mkurugenzi Mtendaji Awasimamisha kazi Watumishi Sita

    February 07, 2019
  • Baraza la Madiwani lapitisha Rasimu ya Mpango wa Maendeleo na Bajeti

    February 06, 2019
  • Baraza la Wafanyakazi lazinduliwa Malinyi

    February 05, 2019
  • Kamati ya Fedha, uongozi na Mipango watembelea Miradi ya Maendeleo

    February 01, 2019
  • Angalia yote

Video

MWENGE
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Barabara ya Kuelekea Kanisa la Katoliki Kipingo

    Postal Address: P.O.BOX 18 Malinyi

    Telephone: 255

    Mobile: 0755388218

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Hatimiliki©2017 MALINYIDC Haki zote zimehifadhiwa