• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

Kilimo


Majukumu ya Idara

1. Kusimamia na kuratibu ukaguzi mazao ngazi ya Halmashauri

2. Kusimamia mtandao wa mawasiliano ngazi ya Halmashauri.

3. Kuandaa utabiri wa uzalishaji mazao ngazi ya Halmashauri

4. Kufuatilia upelekaji wa taaluma ya uzalishaji mazao ngazi ya

Halmashauri.

5. Kuratibu na kufuatilia Programu zote za ugazi katika eneo husika

6. Kushirikiana na taasisi zisizo za kiserikali na mashirika ya umma

yanayojihusisha na uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa mazao

7. Kuandaa mahitaji na upatikianaji wa pembejeo

8. Kusimamia udhibiti wa visumbufu vya mazao na mimea katika

ngazi ya Halmashauri

9. Kusimamia/ kuendeleza taaluma ya uzalishaji wa mazao ngfazi

ya Halmashauri

10. Kutafsiri sera kuhusu uendeshaji na uzalishaji mazao.

11. Kuandaa/ kuandika taarifa ya utekelezaji wa sekta ya kilimo

12. Kuandaa program za uendelezaji mazao.

13. Kuratibu huduma za umwagiliaji kwa wakulima

14. Kufanya tathimini ya Mazingira kabla na baada ya miradi ya

umwagiliaji

15. Kuwaelimisha wakulma juu ya sheria za kilimo

16. Kutoa ushauri wa kitaalmi juu ya matumizi ya pembejeo

17. Kushirikiana na vikundi vya wakulima kuhusu matatizo na

teknolojia sahihi za kutumia

18. Kuwafundisha wakulima mbinu bora za kilimo, matumizi ya

mbolea, madawa na pembejeo za kilimo.

19. Kuwafikisha wakulima matokeo ya utafiti

20. Kushirikiana na watafiti kuendesha vishamba vya majaribio

21. Kuandaa bajeti ya kawaida na maendeleo

22. Kukusantya takwimu za bei za mazao kila wiki na kila mwezi

23. Kukusanya takwimu za upatikanaji wa mazao katika masoko kila

wiki/mwezi

24. Kuwatambua wasambazaji wa pembejeo

25. Kuhamasisha uzalishaji wa mazao yab bustani

26. Kusimamia/ kuendeleza uzalishaji wa mbegu bora

27. Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa vyama vya ushirika

28. Kuratibu/kushiriki katika kutoa elimu ya ushirika shirikishi

29. Ukaguzi wa hesabu na kufuatilia uendeshaji wa vyama vya

ushirika kulingana na sheria ya vyama vya ushirika.

30. Kutoa mafunzo kazini juu ya uandikishaji wa vitabu vya hesabu

na kumbukumbu zote muhimu kwa viongozi, waandishi na

watunza hazina wa vyama vya ushirika

31. Kuhamasisha uanzishaji wa vyama vya ushirika

32. Kutoa ushauri juu ya uendeshaji wa vyama vya ushirika

33. Kukagua vitabu vya hesabu na kushauri juu ya uendeshaji wa

vyama vya ushirika

34. Kufanya tathimini ya maendeleo ya vyama vya ushirika na kutoa

ushauri ipasavyo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.