• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI LAPITISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 30.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

Posted on: February 11th, 2026

Baraza la Waheshimiww Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi lapitisha Radimu ya Mpango na Bajeti ya Shilingi Bilioni 30.8 kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027.

Mkutano huo wa Baraza umefanyika tarehe 10 Februari 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ukiongozws na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Moses Chogo. Kikao hiko pia kimehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba.

Kikao Maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi kimepitisha mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya kukusanya na kutumia jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 30,808,542,854.00 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2026/2027.

Katika Mchanganuo wa Bajeti hiyo Shilingi Bilioni 1,554,653,000.00 ni matumizi mengineyo kwa fedha za ruzuku ya Serikali Kuu, 17,934,267,800,00 fedha ya ruzuku ya Mishahara kutoka Serikali Kuu, 2,433,436,000.00 kwa Ajili ya Shughuli za Maendeleo kutoka Serikali Kuu na 3,739,286,000.00 kwa Ajili ya Shughuli za Maendeleo kutoka Fedha za Wahisani wa Nje na 5,146,900,054.00 ni fedha ya makusanyo ya Ndani kutoka vyanzo Huru na Lindwa

Aidha katika mwaka wa fedha 2026/2027 Halmashauri imepanga kutekeleza vipaumbele mbalimbali baadhi ni kama ifuatavyo:-

Kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri kwa kuimarisha makusanyo ya vyanzo vilivyopo.

Kuweka Mazingira wezeshi ya Uwekezaji.

Kuimarisha upatikanaji wa Huduma za Jamii kama Stendi, Soko, Shule,Madarasa,Minada, Ununuzi wa Madawa nk.

Kuongeza Uzalishaji wa Mazao ya Kimkakati (Chikichi, Embe, Kokoa, Korosho) Pia kuongeza Uzalishaji wa Zao la Mpunga ambalo linachangia asilimia 72% ya fedha za makusanyo ya ndani.

Kutoa Mikopo kwa Makundi Maalumu ya Wanawake, Vijana na wenye mahitaji maalumu.

Kuanzisha Radio ya Jamii ndani ya Wilaya ya Malinyi.

Kuwezesha zoezi la ulipaji fidia, upimaji na upangaji wa viwanja eneo la Nyangali awamu ya pili.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI LAPITISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 30.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 11, 2026
  • DED KHAMIS KATIMBA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TATHMINI YA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KWA MWAKA 2024 na 2025

    February 11, 2026
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHAURI CHA WILAYA KUJADILI RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    January 31, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LIMEPITISHA TAARIFA ZA KAMATI ZA ROBO YA PILI KWA MWAKA 2025/2026

    January 25, 2026
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.