• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

KATIMBA AVISHUKURU VYAMA VYA SIASA KWA USHIRIKIANO

Posted on: November 5th, 2024

Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la Malinyi ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmasgauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Jaaphar Katimba amevishukuru vyama vya siasa kwa ushirikiano mkubwa wanaompatia katika kipindi hiki ambacho Nchi inaelekea katika uchaguzi wa Serikali za mitaa na kuongeza kuwa ushirikiano huo umemwezesha kutekeleza majukumu yake kama Msimamizi wa Uchaguzi kwa ufanisi.


Ndugu Katimba ameyasema hayo Otoba 5, 2024 katika Kikao cha nne baina yake na Vyama vya siasa Wilayani Malinyi, kikao hicho pamoja na vikao vingine vitatu vilivyotabgulia vimefanyika kwa lengo la kutathimini zoezi la uandikishaji na utekeleazaji wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za uchaguzi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024, ili kuhakikisha Malinyi inabaki kuwa salama kuanzia mwanzo wa uchaguzi, wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.


“Uchaguzi utapita lakini Wanamalinyi tutabaki,hatuna sababu ya kuwa na vurugu kwa sababu ya uchaguzi, hatuna sababu ya kuwa na uchaguzi utakaotuachia uhasama miongoni mwetu, sisi tunatakiwa tuungane , tuwe kitu kimoja tuendeleze maendeleo” amesema Katimba


 “Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anataka uchaguzi ulio imara na uendeshwe kwa kuzingatia 4r zake na mimi kama Msimamizi wa Uchaguzi nazingatia 4r ndiyo maana nimekua nikijibu na kutekeleza kwa haraka na kwa wakati”amesema Katimba


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa maelekezo kuwa uchaguzi uwe wa haki kwa kuzingatia 4r, Pia amewashukuru viongozi wa vyama vya siasa kwa kushirikiana na Msimamizi wa uchaguzi


Naye Mwenyekiti wa Kamati ya rufaa ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya Bi Saida Mhanga amewahakikishia Viongozi wa vyama vya siasa kuwa atazingatia haki katika rufaa zote na mapingamizi yatakayowasilishwa katika kamati yake.

Sambamba na hilo Bi Saida Mhanga pia amewaomba Viongozi wa vyama vya siasa kuzingatia kanuni na miongozo ya uchaguzi wakati wa pingamizi kwa kuwa maamuzi yatakayotolewa na kamati yake yatazingatia miongozo hiyo.


Kwa upande wake Katibu wa CHADEMA Wilaya Ndugu Joseph Mwanja amemshukuru Msimamizi wa Uchaguzi kwa

 ushirikiano na kutenda haki kuanzia katika zoezi la uandikishaji mpaka wakati huu tunapoelekea katika uchaguzi Novemba 27, 2024.


Naye katibu wa CUF Wilaya Ndugu Miraji Ngapulila amesema matarajio yake ni kuona hali ya utulivu na uadilifu ikiendelea kuwepo mpaka mwisho wa uchaguzi.


Hata hivyo Mwenyekiti wa ACT Wilaya Ndugu Abdu Swedi amesema Serikali ina nia njema katika uchaguzi huu hivyo wasitokee watu wachache katika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wasio waadilifu kuharibu nia njema ya ufanyikajji Uchaguzi huu kwa kuzingatia 4r za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.