• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

MENEJA NMB KANDA YA KATI AKABIDHI MSAADA WA VITI NA MEZA 100 PAMOJA NA MADAWATI 100 KWA MKUU WA WILAYA YA MALINYI

Posted on: February 16th, 2026

Meneja wa NMB Kanda ya Kati Ndugu Janeth Shango amekabidhi msaada wa Viti na Meza 100 pamoja na madawati 100 kwa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba.

Makabidhiano hayo yamefanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Kilosa Mpepo tarehe 13 Februari 2026. Msaada huo umehusisha Viti na Meza 100 kwa Shule ya Sekondari Kilosa Mpepo, Madawati 50 kwa Shule ya Msingi Madibira na Madawati 50 kwa Shule ya Msingi Salamiti. Msaada wote ukiwa na thamani ya Shilingi Milioni 21.6.

Akipokea Madawati hayo Mheshimiwa DC Waryuba alieambatana na Kaimu DED Ndugu Christins Chacha na Diwani wa Kata ya Kilosa Mpepo Mheshimiwa Boniventure Kiwanga, ameishukuru sana Benki ya NMB kwa msaada kwa Malinyi na amewakaribisa pia Watu binafsi na Wawekezaji kutoa Misaada katika Sekta ya Elimu na amesema Serikali itaendelea kuiunga mkono NMB kwa juhudi wanazofanya.

Meneja wa NMB Kanda ya Kati Ndugu Janeth Shango amesema kuwa msaada huo ni sehemu ya kurudisha faida wanayoipata kwa jamii, wao NMB wakiwa wadau na inatoka kwenye Mfuko wa kusaidia jamii. Ndugu Shango amesema NMB inafahamika kimataifa kama kinara wa wa uwajibikaji kwa Jamii nchini Tanzania. Ni Benki iliyo salama zaidi nchini Tanzania. Benki hiyo ina Matawi 241, ATM-700 na ina Wateja zaidi ya Milioni 8.

Kwa upande wa Meneja wa NMB Tawi la Malinyi Ndugu Anderson Lyatuu ameongelea kuhusu fursa kwa Wazazi na Wanafunzi kuwa NMB wana Chipukizi Akaunti ambayo Mtoto mwenye miaka 13-17 anafungua kwa Shilingi 5000/=

Akitoa shukrani kwa niaba ya Mwenyekiti wa Halmashauri Diwani wa Kata ya Kilosa Mpepo Mheshimiwa Boniventure Kiwanga ametoa shukrani kwa NMB kwa kuwapatia Viti na Meza 100. Amewashukuru Wanafunzi wa Kilosa Mpepo licha ya changamoto wanafanya vizuri, Shule imetoa Divisheni II  tano (5). Ametoa shukrani kwa Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan, Serikali yake na Chama cha Mapinduzi kwa kuendelea kuwashika mkono.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • MENEJA NMB KANDA YA KATI AKABIDHI MSAADA WA VITI NA MEZA 100 PAMOJA NA MADAWATI 100 KWA MKUU WA WILAYA YA MALINYI

    February 16, 2026
  • DC WARYUBA AZINDUA ZOEZI LA UMEZAJI DAWA ZA MINYOO YA TUMBO NA KICHOCHO

    February 15, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI LAPITISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 30.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 11, 2026
  • DED KHAMIS KATIMBA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TATHMINI YA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KWA MWAKA 2024 na 2025

    February 11, 2026
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.