• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

watumishi wahimizwa kushirikiana na kufanya kazi kwa bidii

Posted on: January 30th, 2023

Mkuu wa wilaya ya malinyi mkoani Morogoro Mh. Sebastian Waryuba amewataka watumishi wote wilayani hapa kuongeza ari, bidii na ushirikiano katika kazi ili kuwaletea maendeleo wananchi.

Mh. Waryuba ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa kada mbalimbali wilayani hapa muda mfupi mara baada ya kukamilika kwa zoezi la uwekaji saini nyaraka za makabidhiano ya ofisi kutoka kwa mtangulizi wake aliyekua mkuu wa wilaya hiyo Mh. Mathayo Maselle, hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ulioko katika kijiji cha misegese wilayani hapa.

Mh.Waryuba amesema wilaya ya malinyi ina changamoto mbalimbali ambazo zinahitaji ushirikiano pamoja na kujitoa kwa kila mtumishi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku ili kuweza kujikabili na kuzitatua changamoto kwa ustawi maendeleo ya wilaya, mkoa na taifa kwa ujumla.

Aidha Mh. Waryuba amewataka viongozi na watumishi waliohudhuria hafla hayo kwenda kuwahamasisha wananchi kufanya kazi kwa bidii kwa lengo la kujiongezea kipato sambamba na kujiletea maendeleo binafsi badala ya kuisubiri serikali iwafanyie kila jambo.

Pamoja hayo Mh. Waryuba amesisitiza kuwa hatojishughulisha kwa mwananchi atakaelalamikia njaa kutokana na uzembe wake wa kutojishughulisha na shughuli za uzalishaji mali kama vile kilimo kwa kuwa ardhi ya malinyi imejaaliwa rutuba nyingi na ni rafiki kwa mazao mbalimbali ya chakula na biashara.

Kwa upande wake Mh. Mathayo Maselle ( mkuu wa wilaya mstaafu) ametumia fursa hiyo kuwashukuru na kuwaaga wananchi, watumishi na viongozi mbalimbali kwa ushirikiano waliompatia kwa kipindi chote alichokuwa madarakani na kuwataka kuendeleza ushirikiano huo kwa mkuu kwa mkuu mpya wa wilaya Mh. Waryuba ili wilaya ya malinyi iweze kusonga mbele.

Aidha Mh Maselle amewaomba radhi wale wote aliowakosea katika kipindi chote alichokuwa akihudumu kama mkuu wa wilaya na kuongeza kuwa  yeye ni binadamu kama walivyo binadam wengine na pengine alifanya hivyo katika kuhakikisha anayatekeleza vyema majukumu katika kuwaletea maendeleo wananchi kama alivyoaminiwa na Mh  Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani.

Mnamo Januari 25 mwaka 2023, Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya nchini ambapo alifanya uteuzi wa wakuu wa wakuu wa wilaya wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48 huku wengine 55 wakisalia katika vituo vyao vya awali.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020/2021 December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 January 17, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI January 18, 2021
  • Tangazo la Nafasi za kazi May 26, 2022
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Kitengo cha macho hospitali ya wilaya ya malinyi chazinduliwa na kufanya upasuaji wa kwanza

    March 20, 2023
  • Kitengo cha macho hospitali ya wilaya ya malinyi chazinduliwa na kufanya upasuaji wa kwanza

    March 20, 2023
  • Madiwani wafanya ziara ya mafunzo Tandahimba

    March 02, 2023
  • katibu mkuu CCM Awaasa Viongozi/Wanachama Malinyi

    February 03, 2023
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.