• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

Kamati ya fedha mipango na uongozi Malinyi yatembelea miradi ya maendeleo

Posted on: April 18th, 2023

Kamati ya Fedha Uongozi na mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi na baadhi ya wataalam wa Halmashauri  wametembelea miradi mbalimbai ya maendeleo inayiotekelezwa katika Halmashauri hiyo.

Kamati hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Raina Paul Mbelembo(Diwani wa kata ya Njiwa)imetembelea mradi wa maji unaotekelezwa katika kata ya Ngoheranga ambao utekelezaji wake upo katika asilimia zaidi ya 90.

Mbali na mradi huo pia wametembelea kikundi cha vijana cha Wasaka Tonge kilichopo katika kata ya Ngoheranga ambacho kilipatiwa fedha za mkpo wa vijana kutoka Halmashauri kiasi cha shilingi milioni 17.2.

Mbali na miradi hiyo pia wamejionea eneo ambalo linatarajia kujengwa kizimba cha ukusanyaji takataka kinachojengwa katika Kata ya Malinyi kwa fedha za mapato ya ndani.

Akizungumza mara baada ya kutembelea miradi hiyo Kaimu mwenyekiti wa Halmashauri ya Malinyi Mheshimwa Raina Mbelembo amesema kamati imeridhishwa na namna ambavyo wakandarasi wanatekeleza miradi hiyo na kupongeza serikali kutoa fedha za kukamilisha miradi.

“Shilingi milioni 900 zinazojenga mradi wa maji Ngoheranga ni fedha ambazo Mheshimiwa Rais amezitoa kwa ajili ya wananchi wa Malinyi kwa kweli lazima kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa kuwajali wana Malinyi”alisema.

Diwani wa kata ya Malinyi mjini mheshimiwa Said Tira akiwa katika mradi wa vijana ambao wamnunua pikipiki mara baada kupata mkpo wa halmashauri aliwasihi kurejesha mkopo huo kwa wakati kulingana na mkataba wao ili  vijana wengine waweze kukopa.

Patrick Mayila ni kaimu mkuu wa Divisheni ya rasilimali watu na Utumishi amewaasa vijana wa kikundi cha Wasaka tonge kubuni pia biashara nyingine kama kilimo ili waweze kujikwamua na umaskini.

“Ni vema wakati mnaendelea na marejesho ya mkopo huu muwe mnafikiria na biashara nyingine ambayo itawasaidia zaidi kuendeleza Maisha yenu lakini kikubwa ni uaminifu na kurejesha mkpo huu kwa wakati”alisema.

Kwa upande wake mwenyekiti wa kikundi hicho amesema wamejipanga kuanza marejeshi ya mkpo wao kama mkataba wao uavyelekeza ambapo marejesho ya kwanza wanatarajia kufanya mwezi Mei mwaka huu.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020/2021 December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 January 17, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI January 18, 2021
  • Tangazo la Nafasi za kazi May 26, 2022
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Mwenge wa uhuru 2023 umeridhia miradi yote yenye thamani ya shilingi milioni 825.8 Malinyi

    May 08, 2023
  • Kamati ya fedha mipango na uongozi Malinyi yatembelea miradi ya maendeleo

    April 18, 2023
  • Kitengo cha macho hospitali ya wilaya ya malinyi chazinduliwa na kufanya upasuaji wa kwanza

    March 20, 2023
  • Kitengo cha macho hospitali ya wilaya ya malinyi chazinduliwa na kufanya upasuaji wa kwanza

    March 20, 2023
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.