• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

fedha na biashara

 

 

 

 

BIASHARA

 

 

 

SHERIA NA TARATIBU ZA KUPATA HUDUMA ZA LESENI ZA BIASHARA HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI

S / n

SHERIA / KANUNI

UTARATIBU WA KUFUATWA

MUHUSIKA

MWASILIANO

1
Sheria ya leseni za biashara Na 25 ya 1972
Kujaza fomu ya maombi (Fomu Na TFN211) na kuambatanisha nyaraka zifuatazo
- Kwa jina la biashara aweke nakala ya hati ya kuandikisha jina la biashara au kampuni kutoka BRELA
- Hati ya uthibitisho wa uraia (Anaweza kuweka cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo cha Mahakama)
- Uthibitisho wa kuwa na mahali pa kufanyia biashara( Hati ya nyumba au mkataba wa pango au stakabadhi ya malipo ya kodi ya majengo)
- Hati ya kusajiliwa kama Mlipa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
- Kwa waombaji ambao sio raia wa Tanzania wawe na hati ya kuishi nchini ya daraja ‘A’ na kwa wawakilishi wa mfanyabishara au kampuni iliyoko nje ya nchi wawe na hati ya Kiwakili ( Power of Attorney)
- Kwa biashara za kitaalamu awe na cheti cha utalaamu
- Kwa biashara zinazodhibitiwa na Mamlaka za udhibiti awe na hati kutoka Mamlaka husika.
Kwa waombaji wanao huisha leseni zao watajaza fomu ya maombi na kuambatisha nakala ya leseni ya kipindi kilichopita.

Oscar A. Ramadhani

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0686 467 978

0655347402

2

Sheria ya leseni za vileo Na 28 ya 1968 na marekebishao yake ya 2012

Muombaji atajaza fomu ya maombi
- Atatakiwa kuambataisha Hati ya Mlipa kodi-TIN kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
- Kwa waombaji wapya fomu ipitishwe kwa;
a) Serikali ya kijiji
b) Kwa Afisa Afya wa kata
e) Afisa Biashara
- Kwa waombaji wanaohuisha leseni watajaza fomu ya maombi na kuambatisha nakala ya leseni ya kipindi kilichopita

Oscar A. Ramadhani

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0686 467 978

0655347402

3

Hotel levy Act ya 1973

Kodi hii hulipwa mara moja kabla ya tarehe 7 ya kila mwezi. Mlipaji anatakiwa kuja na kitabu cha wageni, Afisa Biashara husika hukokotoa kiasi cha kodi kutoka katika kitabu cha wageni. Kiasi cha kodi ni asilimia kumi (10%) ya mapato ya mwezi

Oscar A. Ramadhani

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0686 467 978

0655347402











5

Kodi ya huduma ya Halmashauri; sheria ya Fedha ya Serikali za mitaa sura ya 290 kifungu Na. 6 (01) na 16 (1)

Kujaza fomu Na. ….. na kuiwasilisha kwa Afisa husika kwaajili ya ukokotoaji wa kiasi cha kodi inayopaswa kulipwa. Tozo ni asilimia 0.3% ya mapato ya kipindi husika.

Oscar A. Ramadhani 

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0686 467 978

0655347402

6

Sheria ya afya ya jamii ya 2009 sehemu ya Sehemu ya 27.

Majengo ya biashara yanapaswa kukaguliwa, Afisa Afya ana uwezo kwa mujibu wa sheria Kufanya Ukaguzi wa kiafya kwenye jengo la biashara, na kujiridhisha na hali ya kiafya ya jengo.
 
Utaratibu:
Waombaji wa leseni za Hoteli za kawaida, Vilabu vya pombe. Watengenezaji na wauzaji wa vyakula na Vinywaji. Majengo wanamo fanyia shughuli hizo yanapaswa kukaguliwa na Afisa Afya:
Mwombaji aende kwenye ofisi ya kata husika na aonane na Afisa Afya wa Kata kwaajili ya ukaguzi, kisha kuandaa taarifa ya ukaguzi na kuiwasilisha kwa Afisa Afya Mkuu wa Wilaya, pamoja na maombi ya leseni.
 

Afisa afya/Mazingira

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0753419799/0715368376

7

Sheria ya afya ya jamii ya 2009 sehemu ya 150 (6)

Mhudumu / mtumishi yeyote katika nyumba za kulala wageni, hotel au sehemu yoyote inayo tolewa huduma ya vinywaji au vyakula. Anapaswa kupima afya kwa mujibu wa sheria hii.
Utaratibu:
Huduma ya kupima afya kwa Halmashauri ya wilaya ya Malinyi inatolewa katika vituo vya tiba vifuatavyo:-
a. Hosipitali ya Lugala

Afisa afya/Mazingira

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

0753419799/0715368376











Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.