MADIWANI WAAPISHWA MALINYI
Katika kuashiria kufunguliwa rasmi kwa Baraza la Madiwani Wilayani Malinyi, leo tarehe 16.12.2020, katika Ukumbi wa Halmashauri uliopo Kijiji cha Misegese Wilayani Malinyi.
Katika zoezi hilo kumeshuhudiwa Madiwani Kumi na Nne(14) wakiapishwa, ambao kati ya hao, kumi ni wa kuchaguliwa na Wanne ni wa Viti maalum.
Baada ya kuapa rasmi sasa Madiwani wamejipanga kushirikiana na Menejimenti ili kuwaletea maendeleo Wakazi wa Malinyi, na kuahidi kwa kauli moja kutekeleza yale yote Waliyoyaahidi kwa Wananchi.
Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi
Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro
Telephone: 0643111999
Mobile:
Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz
Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.