• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

MILIONI 128 KUTOKA MAPATO YA NDANI ZATUMIKA KUKAMILISHA MAJENGO KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

Posted on: October 24th, 2023

Jumla ya shilingi milioni 128 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri zitatutumika kumalizia  ujenzi wa jengo  la  dharura, jengo la  nyumba ya Watumishi (3 in 1) jengo la Utawala na jengo la Wazazi.

Hayo yamesemwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya Dkt. Joseph Masolwa wakati akisoma taarifa juu ya mwenendo wa  ujenzi na umaliziaji wa majengo hayo kwa kamati ya Fedha, Uongozi  na Mipango ilipofanya ziara ya kukagua miradi katika Hospitali ya Wilaya ya Malinyi.

Dkt.  Masolwa amefafanua kuwa mwezi wa nane (August 2023) Hospitali ya Wilaya ilpokea kiasi cha shilingi milioni 82  kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo milioni 60 zililenga kumalizia ujenzi wa jengo la dharura, milioni 22 zililenga kumalizia ujenzi wa nyumba ya Watumishi  ( 3 in 1) na mwishoni mwa mwezi wa kumi  (Oktoba 2023) Halmashauri ilipokea kiasi cha shilingi milioni 46 kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo milioni 30 zimelenga kumalizia ujenzi wa jengo la Wazazi na milioni 16 zitamalizia ujenzi wa jengo la utawala.

Naye Mhandisi wa Wa Wilaya  Ndugu  Fokward Mhoisol amesema kuwa kwa sasa shughuli za umaliziaji wa majengo hayo zimekwishaanza na  majengo hayo yapo katika hatua mbalimbali za umaliziaji ambapo jengo la utawala limekamilika kwa 71%,  jengo la dharura limekamilika kwa 95%, nyumba ya Watumishi kwa 92%  jengonla Wazazi limekamilika na linaendelea kutoa huduma.

Aidha Mhandisi  Fokward ameongeza kuwa kwa mujibu wa mpango kazi wa Idara ya ujenzi  mpaka kufikia tarehe 30/10 /2023  jengo la dharura, nyumba ya Watumishi itakua imekamilika, ambapo  jengo la Utawala linatarajiwa kukamilika tarehe 15/11/2023.

Hata hivyo, Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imeipongeza Idara ya ujenzi  kwa hatua iliyofikia katika usimamizi wa  ujenzi wa majengo hayo na kuitaka iendelee kufanya kazi kwa bidii ikiwa ni pamoja kuongeza umakini katika kusimamia matumizi  ya fedha za Serikali  na kusimamia mafundi ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliokusudiwa.

Matangazo

  • Mtihani wa Darasa la Saba 2023 September 15, 2023
  • Taarifa kwa Umma October 27, 2023
  • Mtihani wa Upimaji wa Taifa Kidato cha Pili 2023 October 30, 2023
  • Kikao cha Baraza la Madiwani Robo ya Kwanza Julai-Septemba 2023 October 30, 2023
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • WATUMISHI WA MAKAO MAKUU YA WILAYA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA WATUMISHI PORTAL NA MFUMO WA HAZINA PORTAL

    November 23, 2023
  • NATOA MAAGIZO KWA WATENDAJI WA KATA KUHAKIKISHA KILA KATA 8NAKUWA NA KAMATI YA USALAMA YA KATA

    November 17, 2023
  • MAMA AMETUSIKIA NA AMETUFIKIA WANAMALINYI

    November 18, 2023
  • KAMPENI YA KUTANGAZA MIRADI YA SERIKALI MKOANI MOROGORO

    November 02, 2023
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.