• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

Sherehe ya muungano yaadhimishwa kwa upandaji miti

Posted on: April 26th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Malinyi Mh Mathayo Masele amewaongoza wananchi, watumishi pamoja na

viongozi mbalimbali wa chama na serikali kuadhimisha siku ya muungano wa Tanganyika na

Zanzibar uliozaa jamuhuri ya muungano wa Tanzania katika kufanya usafi na kuweka alama

kwa kupanda miti katika mipaka ya eneo la mradi wa ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya

Ndewele, katika kitongoji cha Ndewele kijiji cha Malinyi.

Akizungumza katika zoezi hilo Mh Masele amesema kukamilika kwa mradi huo kutaondoa

changamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kuitafuta elimu ambapo kwa sasa wanafunzi

wanaoishi katika maeneo hayo ya Ndewele hulazimika kutembea kwa zaidi ya kilometa ishirini

kwenda katika sekondari za kipingo, Malinyi na Igawa.

Pamoja na hayo Mh Masele ameongeza kuwa kutokana na shule hiyo kuwa na eneo kubwa

hivyo ameiagiza halmashauri ya wilaya kuhakikisha inapanda miti ya michikichi na mikorosho ili

iweze kutumika kama mradi wa shule hiyo pindi itakapokamilika kwa kuiwezesha shule

hiyo kujiongzea kipato pamoja na kutatua changamoto ya mafuta ya kupikia.

Awali akizungumzia maendeleo ya mradi huo kaimu afisa elimu sekondari Bi Pendo Masalu

amesema kwa sasa ujenzi upo katika hatua ya msingi na wanategemea kuanza kupandisha

kuta hivi karibuni ambapo wameanza na ujenzi wa madarasa manane,ofisi mbili pamoja na

matundu ya vyoo ambavyo vyote ujenzi wake unakwenda sambamba.

Kwa mujibu wa bi Masalu ni kwamba jumla ya shilingi milioni mianne na sabini zilizotolewa na

Rais watanzania mama Samia Suluhu Hasan ndizo zinazotumika katika utekelezaji wa mradi

huo kwa awamu ya kwanza ambapo ameongeza kuwa shule hiyo pia itakuwa ya bweni hapo

baadae na hivyo kuwa chachu kwa watoto kufanya vizuri katika masomo yao.

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2020/2021 December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 January 17, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI January 18, 2021
  • Tangazo la Nafasi za kazi May 26, 2022
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • Changamoto ya mawasiliano kubaki historia Malinyi

    January 10, 2023
  • Changamoto ya mawasiliano kubaki historia Malinyi

    January 10, 2023
  • Sherehe ya muungano yaadhimishwa kwa upandaji miti

    April 26, 2022
  • Malinyi inatarajia kutekeleza zoezi la utambuzi wa mifugo

    April 23, 2022
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.