MAJUKUMU
1.Kusimamia uhufadhi wa nyuki na mazingira yao.
2.Kusimamia uzalishaji na utayarishaji wa mazo ya nyuki.
3.Kusimamia ugani wa ufugaji nyuki.
4.Kutoa ushauri kwa vyombo vinavyohusian na ufugaji nyuki.
5.Kusimamia tafiti za maliasili ya nyuki.
6.Kusimamia utayarishaji wa zana za ufugaji nyuki.
7.Kusimamia ukuzaji na usambazaji wa nyuki kwa wafugaji nyuki.
OFISI ZINAPATIKANA ENDEO LA MISEGESE
Postal Address: P.O.BOX 18 Malinyi
Telephone: 0784502410
Mobile: 0755388218
Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz
Hatimiliki©2017 MALINYIDC Haki zote zimehifadhiwa