• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DED KATIMBA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

Posted on: July 15th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ys Malinyi Ndugu Khamis Katimba amefungua Kikao kazi cha Maafisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Malinyi.Kikao hiko kimefanyika Makao Makuu ya Halmashauri tarehe 14 Julai 2025.

Katika Kikao hicho DED Katimba alipata nafasi ya kuwafahamu Watumishi Wapya, Katika Kikao hiko DED Katimba aliwaelekeza ya kuwa sekta ya Maendeleo ya Jamii ni kubwa na pana sio kuangalia Mikopo tu ya asilimia kumi (10%)

Maafisa Maendeleo ya Jamii ni Makatibu na Waratibu wa Shughuli za Kata hivyo ni lazima wajue Ishu(Issues) zote zinazoihusu jamii, Kila kitu chenye manufaa ya Jamii Afisa Maendeleo ya Jamii anatakiwa ajue.

Amewataka wawe na taarifa ya vyanzo vya Mapato. Wanatakiwa wapate muda wa kwenda kuangalia vyanzo na waweke ratiba ya kutembelea Kata. Kata nzima iwe kichwani mwa Afisa Maendeleo ya Jamii. Amewataka wawe active muda wote wanatakiwa wajue mambo mengi hawana mipaka ya kutokujua mambo.

Katika Kikao hiko Mada mbalimbali ziliwasilishwa kwa Washiriki kama vile TASAF, ICHF, HIV/AIDS, Lishe,Mazingira, Nyumba Bora na Ukusanyaji Takwimu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DED KATIMBA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII

    July 15, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEJIPANGIA MAKISIO YA KUKUSANYA TSH. BILIONI 4.9

    July 11, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AMEFANYA KIKAO JUU YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI.

    July 10, 2025
  • DED MALINYI AWATAKA WAKULIMA ,WAVUVI, NA WAFUGAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOJITOKEZA MALINYI

    June 05, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.