• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI

Posted on: January 6th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amefungua Mafunzo Elekezi kwa Waheshimiwa Madiwani. Mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri tarehe 5 Oktoba 2025.

Mafunzo hayo elekezi kwa Waheshimiwa Madiwani yametolewa na Wataalamu Wawezeshaji kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa- Hombolo.Waheshimiwa Madiwani wamefundishwa Mada mbalimbali kama Uongozi na Utawala Bora, Sheria za Uendeshaji wa Shughuli za Mamlaks za Serikali za Mitaa, Muundo, Majukumu na Madaraka ya Serikali za Mitaa,Uendeshaji wa Vikao na Mikutano katika Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Akifungua Mafunzo hayo Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi alitoa Shukrani kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha Mafunzo ya Madiwani. Mheshimiwa DC Waryuba amesema Mafunzo Elekezi kwa Waheshimiwa Madiwani ni Mafunzo muhimu kwani elimu haina mwisho. Na amewaeleza Waheshimiwa Madiwani kuwa wao ndio "Engine" ya Halmashauri wakiwa vipofu na viziwi Halmashauri haitaenda na Halmashauri yoyote inayo "perform" lazima iwe na ushirikiano na Mkurugenzi Mtendaji,Wataalamu na DC. Hivyo anataka kuona Halmashauri yenye mabadiliko chanya.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI

    January 06, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEKABIDHI GARI LA WAGONJWA, KIFAA TIBA NA IMEGAWA MAHITAJI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    December 06, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI WA MALINYI WAMEANZA KAZI RASMI BAADA YA KIAPO

    December 05, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    December 03, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.