• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAZINDUA UGAWAJI NA UPANDAJI WA MICHE YA MICHIKICHI NA KAKAO

Posted on: January 10th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi yazindua Ugawaji na Upandaji wa Miche ya Michikichi na Kakao. Uzinduzi huo umefanywa na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba tarehe 7 Januari 2026. Ikiwa ni Ishara ya kutekeleza azma ya Mkoa wa Morogoro ya kuwa na mazao ya mkakati yatakayoweza kuinua Uchumi wa Wakulima na kuongeza pato la Halmashauri. Halmashauri ya Malinyi ina mazao 4 ya kimkakati ambayo ni Korosho, Michikichi, Kakao na Embe ambayo kigezo cha kuyachagua mazao hayo ni matakwa na mahitaji ya Wakulima wengi na hali ya Kiikolojia( Hali ya Kimazingira ya Malinyi)


Akizindua ugawaji wa Miche ya Michikichi na Kakao DC Waryuba ameipongeza Halmashauri kwa Uanzishwaji wa Shamba Darasa na matokeo yake yanaonekana kwani Wananchi wanapata manufaa wakiwa Malinyi badala ya kusubiria kipindi cha Maonesho ya Nane Nane Morogoro. Jumla ya Miche 50,000 ya Korosho na 17343 ya Chikichi imegawiwa kwa Wakulima na usambazaji wa Miche 20,000 ya Kakao na upandaji unaendelea.

Mheshimiwa DC Waryuba amewataka Wataalamu wafanye utafiti kutokana na mazao yanayohimili hali ya hewa ya Malinyi na kawataka watoe Elimu kwa Wakulima kuhusu zao la Maembe kwani Maembe ya Malinyi ni mazuri kwa biashara. Pia ametoa Shukrani kwa Wataalamu, Wilaya ya Malinyi ndio inaongoza kwa uzalishaji wa Koroshi kwa Mkoa wa Morogoro kwa sababu Ardhi ya Malinyi inakubali, kwa upande wa Zao la Kakao zao hilo lina bei nzuri  hivyo  amewataka Wakulima walichangamkie.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAZINDUA UGAWAJI NA UPANDAJI WA MICHE YA MICHIKICHI NA KAKAO

    January 10, 2026
  • DC WARYUBA AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI

    January 06, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEKABIDHI GARI LA WAGONJWA, KIFAA TIBA NA IMEGAWA MAHITAJI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    December 06, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI WA MALINYI WAMEANZA KAZI RASMI BAADA YA KIAPO

    December 05, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY