• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEKABIDHI GARI LA WAGONJWA, KIFAA TIBA NA IMEGAWA MAHITAJI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

Posted on: December 6th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Moses Chogo tarehe 5 Desemba 2025 imekabidhi gari la Wagonjwa kwa kituo cha Afya cha Ngoheranga, Kifaa Tiba cha "BIOSAFETY CARBINATE" Kifaa kinachokinga Mtoa huduma dhidi ya vimelea vinavyoambukizwa kwa njia ya hewa wakati wa upimaji wa Sampuli kilichotolewa kwa Ufadhili wa Shirika la SolidarMed na imegawa Mahitaji ya wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Malinyi.

Akikabidhi Vifaa hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Moses Chogo ameutaka Uongozi wa Hospitali ya Wilays kuhakikisha unatunza vifaa hivyo kwa manufaa ya muda mrefu. Pia amelitakaBaraza la Madiwani liitangaze Hospitali ya Wilaya ya Malinyi kwani Watumishi wapo wa kutosha. Vilevile Mh.Mwenyekiti amesisitiza anahitaji mahusiano mazuri kati ya Baraza na Watumishi wa Halmashauri kwani bila mahusiano mazuri unaweza kuharibu kwa Jamii na amewataka Watumishi wawe na kauli nzuri kwa Wagonjwa na Viongozi.

Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO) Dk. Julius Nyasongo amesema Kifaa Tiba cha "BIOSAFETY CARBINATE" na Gari la Wagonjwa (Ambulance) vitasaidia kuongeza kasi ya huduma kwa Wananchi. Dk. Nyasongo amesema Wananchi wa Malinyi wanafurahia uboreshwaji wa huduma zinazotolewa kwenye Hospitali za Serikali.

Kwa upande wa Mganga Mwanzilishi wa Hospitali ya Wilaya Dk. Marwa Mikwabe amesema huduma za Hospitali zimeboreshwa kwa kiwango kikubwa sambamba na ongezeko la Watumishi wake. Hospitali hiyo ya Wilaya ilianza na Watumishi 12 hivi sasa ina Watumishi zaidi ya 100 na imepata vifaa Tiba vingi kutoka Serikali.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEKABIDHI GARI LA WAGONJWA, KIFAA TIBA NA IMEGAWA MAHITAJI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    December 06, 2025
  • WAHESHIMIWA MADIWANI WA MALINYI WAMEANZA KAZI RASMI BAADA YA KIAPO

    December 05, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    December 03, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWENYE HAFLA(TAFRIJA) YA KUWAPONGEZA WALIMU KWA UFAULU MZURI WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025

    November 30, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.