• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

WAHESHIMIWA MADIWANI WA MALINYI WAMEANZA KAZI RASMI BAADA YA KIAPO

Posted on: December 5th, 2025

Tarehe 04/12/2025 kupitia Mkutano wa kwanza wa Halmashauri, Madiwani waliochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba,2025 wameapishwa rasmi na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Malinyi Ndugu James Clement Mwakalosi zoezi lililoenda sambamba na Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri.

Kufuatia Uchaguzi huo Mheshimiwa Moses Martin Chogo Diwani wa Kata ya Igawa amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri kwa kupata Kura zote 15 zilizopigwa huku Mheshimiwa Liko Venance Likomo Diwani wa Kata ya Sofi kupitia CCM amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti kwa kupata Kura 13 kati ya 15 ambapo Kura 2 ziliharibika.

Zoezi hilo lilisimamiwa na Katibu Tawala Wilaya ya Malinyi Ndugu Saida Abbas Mhanga ambapo amewataka Madiwani kufanya kazi kwa Umoja, Upendo na Ushirikiano baina ya Madiwani na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Khamis Katimba na watatue kero za Wananchi bila ya Ubaguzi.

Kuapishwa kwa Waheshimiwa Madiwani pamoja na kumchagua Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti sambamba na kuunda Kamati za Kudumu za Halmashauri ni hatua ya kuanza kutekeleza majukumu ya Baraza katika Halmashauri kwenye kuwatumikia Wananchi wa Malinyi.

Baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi linaundwa na Madiwani 14 ambao ni Mh.Moses Martin Chogo, Mh.Liko Venance Likomo, Mh.Raina Paulo Mbelembo,Mh. Editha Ally Makumba, Mh.Stahili Yusuph Kiponda, Mh.Aloycia Likanda, Mh.Ditric Dismas Makolela, Mh. Christensia Peter Nyela, Mh.Doglas Ulaya Mhali, Mh.Jestas Jonas Kyerike, Mh.Bonaventura Killian Kiwanga, Mh.Festus Saulo Vundwe, Mh. Maina Juma Mrisho na Mbunge wa Jimbo la Malinyi Mh.Dk, Mecktridis Fratern Mdaku.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • WAHESHIMIWA MADIWANI WA MALINYI WAMEANZA KAZI RASMI BAADA YA KIAPO

    December 05, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    December 03, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWENYE HAFLA(TAFRIJA) YA KUWAPONGEZA WALIMU KWA UFAULU MZURI WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025

    November 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

    November 21, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.