• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

BARAZA LA MADIWANI LIMEPITISHA TAARIFA ZA KAMATI ZA ROBO YA PILI KWA MWAKA 2025/2026

Posted on: January 25th, 2026

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi tarehe 24 Januari 2026 limefanya Mkutano wake wa kawaida katika Ukumbi wa Halmashauri na limepitisha taarifa za Kamati za Robo ya Pili kwa Mwaka 2025/2026.

Taarifa za Kamati zilizowasilishwa na Wenyeviti wa Kamati na kupitishwa na Baraza la Madiwani ni kama ifuatavyo:-

Kamati ya UKIMWI, Kamati ya Huduma za Afya na Elimu, Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira na Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango.

Katika Mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri Mheshimiwa Moses Chogo alitoa pongezi kwa Wenyeviti kwa uwasilishaji wao mzuri wa taarifa za Kamati. Pia alisisitiza kuhusu uhamasishaji wa uandikishaji wa Wanafunzi kuanzia Elimu ya Awali, Msingi mpaka Sekondari na ameagiza Watoto waendelee kuandikishwa Mashuleni mpaka mwezi Machi.

Mheshimiwa Moses Chogo ametoa agizo kwa Taasisi mbalimbali za Umma zinazotoa huduma ndani ya Halmashauri ya Malinyi kama TANESCO, TARURA na RUWASA nazo ziwe zinawasilisha kwenye Baraza la Madiwani taarifa zao za Utekelezaji wa majukumu yao.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • BARAZA LA MADIWANI LIMEPITISHA TAARIFA ZA KAMATI ZA ROBO YA PILI KWA MWAKA 2025/2026

    January 25, 2026
  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO IMEKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 954,800,000

    January 18, 2026
  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA KURATIBU ZOEZI LA KITAIFA LA UGAWAJI WA VYANDARUA KWENYE KAYA BILA MALIPO KWA WILAYA YA MALINYI

    January 13, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAZINDUA UGAWAJI NA UPANDAJI WA MICHE YA MICHIKICHI NA KAKAO

    January 10, 2026
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto
  • situs toto