• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO IMEKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 954,800,000

Posted on: January 18th, 2026

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi tarehe 15 Januari 2026 imekagua utekelezaji wa Miradi yenye thamani ya takribani Shillingi Millioni 954,800,000 ikiwa ni Fedha za Mapato ya Ndani na Fedha kutoka Serikali Kuu.

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango inaongozwa na Mwenyekiti Mheshimiwa Moses Chogo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi na Makamu wake Mheshimiwa Liko Venance Likomo Diwani wa Kata ya Sofi, imepata fursa ya kutembelea na kukagua miradi kama ifuatavyo:-

Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Upasuaji Mkubwa (Theatre) wa Hospitali ya Wilaya ambapo ujenzi upo kwenye hatua za upauaji, Kamati imekagua ukamilishaji wa Stendi Kuu ya Mabasi iliyopo Misegese ambapo kazi ya ujazaji kifusi awamu ya kwanza imekamilika. Kamati imejiridhisha na ujenzi kwa sababu Stendi hiyo ni jicho la Madiwani kwa kuwa ni Chanzo cha Mapato ya Halmashauri na pia ni huduma kwa Wananchi wa Malinyi.

Kamati imekagua Ujenzi wa Nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji (DED) ambayo ipo kwenye hatua ya umaliziaji. Kamati pia imetembelea eneo la upimaji wa Viwanja na ulipaji wa fidia eneo la Nyangali ambalo lina ukubwa wa ekari 36.48 na viwanja vilivyopimwa vipo 166 na gharama ya fidia ni Shilingi Millioni 99 na kila mkazi wa eneo hilo atapewa kiwanja kimoja.

Kamati imetembelea Ujenzi wa Madarasa Mawili na matundu sita ys vyoo katika Shule ya Awali Majiji ambapo madarasa yamepauliwa na matundu ya vyoo yapo kwenye hatua ya ripu na uzio upo hatua ya ukuta. Kamati imeomba ubora uzingatiwe katika ukamilishaji wa ujenzi na imeomba dokumenti za umiliki wa Ardhi zipatikane kwa wakati ili hata kama Mradi utatembelewa na Mbio za Mwenge kusiwe na kasoro yoyote.

Mwisho Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ilimaliza Ziara yake kwa kutembelea Shule ya Msingi Kiswago ambapo Jengo lenye Madarasa Matatu na Ofisi ya Walimu Paa lake limeezuliwa na upepo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO IMEKAGUA UTEKELEZAJI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 954,800,000

    January 18, 2026
  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA KURATIBU ZOEZI LA KITAIFA LA UGAWAJI WA VYANDARUA KWENYE KAYA BILA MALIPO KWA WILAYA YA MALINYI

    January 13, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAZINDUA UGAWAJI NA UPANDAJI WA MICHE YA MICHIKICHI NA KAKAO

    January 10, 2026
  • DC WARYUBA AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI

    January 06, 2026
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto