• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA KURATIBU ZOEZI LA KITAIFA LA UGAWAJI WA VYANDARUA KWENYE KAYA BILA MALIPO KWA WILAYA YA MALINYI

Posted on: January 13th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amefungua Kikao cha kuratibu zoezi la kitaifa la ugawaji wa vyandarua kwenye kaya bila ya malipo kwa Wilaya ya Malinyi. Kikao hiko kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya tarehe 13 Januari 2026.

Akifungua Kikao hiko Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Sebastian Waryuba amesema Serikali ya Wilaya ipo tayari kuhamasisha Wananchi Vijijini kwani Vyandarua ni njia ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Malaria ambao ni ugonjwa unaosumbua sana Wananchi wa Malinyi ambao idadi yao ni zaidi ya Watu 278,000.

DC Waryuba amesema ni marufuku kwa Wananchi kuviuza vyandarua vitakavyotolewa kwani Serikali inatumia gharama kubwa kugharamia vyandarua lakini vinatumika na Wananchi kwa Uvuvi na wengine wanatumia kwenye kilimo cha Nyanya na Vitunguu hivyo amesisitiza inabidi iundwe Sheria Ndogo ( By Law) kuzuia matumizi hayo.

Kwa upande wa Mratibu wa zoezi la ugawaji wa vyandarua kutoka Wizara ya Afya- Mpango wa Taifa wa kudhibiti Malaria Ndugu Peter Gitanya amesema vyandarua vitagawiwa kwa ngazi ya vijiji na vitongoji ambapo kila Watu wawili (2) watapata chandarua kimoja. Na vyandarua hivyo havina madhara yoyote kwa Afya ya Binadamu. Ndugu Peter Gitanya ameomba Watendaji wa Kata na Vijiji waandikishe taarifa sahihi ili kila Kaya Wilayani Malinyi iweze kupata vyandarua bila malipo. Na kaitaka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji ( DED) itoe taarifa kila wiki namna zoezi linavyoendelea.

Kwa upande wa Viongozi wa Dini wameahidi kufikisha ujumbe wa zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa Waumini wao. Mapema akiwasilisha Mada ya Uhamasishaji Kampeni ya Ugawaji wa Vyandarua kwenye Kaya bila Malipo Ndugu Gitanya amesema Halmashauri ya Malinyi kwa Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri 7 zenye maambukizi makubwa ya Ugonjwa wa Malaria kati ya Halmadhauri 9.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA KURATIBU ZOEZI LA KITAIFA LA UGAWAJI WA VYANDARUA KWENYE KAYA BILA MALIPO KWA WILAYA YA MALINYI

    January 13, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAZINDUA UGAWAJI NA UPANDAJI WA MICHE YA MICHIKICHI NA KAKAO

    January 10, 2026
  • DC WARYUBA AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WAHESHIMIWA MADIWANI

    January 06, 2026
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEKABIDHI GARI LA WAGONJWA, KIFAA TIBA NA IMEGAWA MAHITAJI YA WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    December 06, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO