• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DAS MHANGA AWAONGOZA WANA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI

Posted on: September 27th, 2025

Katibu Tawala Wilaya ya Malinyi Ndugu Saida Abbas Mhanga amewaongoza Wana Malinyi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Mazingira Duniani. Maadhimisho hayo katika Wilaya ya Malinyi yameadhimishwa Kijiji cha Majiji Kata ya Sofi, Tarafa ya Mtimbira tarehe 26 Septemba 2025.

DAS Mhanga alimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba. Kauli Mbiu ya mwaka huu ya Siku ya Afya ya Mazingira Duniani ni "Tokomeza taka za Plastiki jenga jamii yenye Afya bora"

Mapema asubuhi DAS Mhanga alipata nafasi ya kushirikiana na wenyeji wakazi wa kijiji cha Majiji kufanya usafi na kuzoa taka. Katika hotuba yake kwenye Mkutano wa Hadhara DAS Mhanga aliihamasisha jamii kudhibiti uchafuzi wa mazingira unaopelekea kuibuka kwa magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza.

DAS Mhanga amesema katika kuadhimisha siku ya Afya ya Mazingira tunakumbushwa kila taka kuwa ina thamani endapo tutaiona kwa jicho sahihi mfano Plastiki zinaweza kutengeneza vigae, mapipa au vifaa vya matumizi nyumbani. Mabaki ya Chakula yanaweza kubadilishwa kuwa mbolea na kutengeneza rutuba ya Udongo. Taka ngumu zinaweza kuzalisha nishati mbadala na kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa.

DAS Mhanga alitoa maelekezo kama ifuatavyo:-

1.Kila Kijiji kiwe na Sheria ndogo za Usafi wa Mazingira.

2.Kuhakikisha kila Kijiji kinakuwa na kamati ya Usafi wa Mazingira.

3.Kuhakikisha kila Kijiji kinakuwa na Kamati ya Usafi na Mazingira.

4.Kila Kijiji kiwe kinashiriki ukusanyaji wa taka ili kudhibiti kuzagaa kwa taka ngumu.

5.Wananchi waepuke kutupa plastiki ovyo.

6.Kuwafuatilia Wananchi wasio na vyoo.

Kabla ya hotuba ya Mgeni Rasmi, Ndugu Benard Mbumbumbu Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa Taka Ngumu alipata wasaa wa kutoa Elimu ya Kampeni ya Choo Bora kwa kuhamasisha Ujenzi wa Vyoo.

Kauli mbiu inasema " Usichukulie Poa nyumba ni Choo" Kwa Wilaya ya Malinyi takwimu zinaonesha Asilimia 52% ya wakazi wanatumia vyoo bora, Asilimia 46% vyoo vya shimo na Asilimia 2% hawana vyoo.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DAS MHANGA AWAONGOZA WANA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI

    September 27, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHIRIKA CHA TATHMINI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI WILAYA YA MALINYI

    September 25, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WANANCHI WA NGOHERANGA KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA MAENDELEO

    September 22, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

    September 22, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.