• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DAS SAIDA MHANGA AFUNGA LIGI YA AMANI CUP KWA NIABA YA DC WARYUBA

Posted on: October 26th, 2025

Katibu Tawala Wilaya ya Malinyi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Michezo ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Saida Abbas Mhanga amefunga kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba Ligi ya Mpira wa Miguu ya Amani Cup tarehe 25 Oktoba 2025.

Mchezo wa Fainali umezikutanisha timu za New Fighter vs Ngozi Kunoga ambapo mchezo uliisha kwa Ngozi Kunoga kuibuka na Ushindi wa goli 1-0 na kufanikiwa kubeba kitita cha Fedha Shillingi 250,000/=, Mshindi wa Pilu New Fighter alipata kitita cha Fedha Shillingi 150,000/= na Mshindi wa Tatu wa Mashindano hayo Msamvu FC waliibuka na kitita cha Shillingi 100,000/=

Katika neno lake la kufunga Mashindano DAS Saida Mhanga alimshukuru Muandaaji wa Mashindano kwa kuhakikisha Michezo inapaa ndani ya  Wilaya ya Malinyi na kutoa vipaji na amewaomba Wachezaji wakawe Mabalozi wajitokeze wakapige Kura tarehe 29 Oktoba 2025.

Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Katimba ameahidi kushirikiana na Wana Malinyi kwenye Mabonanza na Jogging huku akiahidi uwepo wa Bonanza la kuwashukuru Wananchi baada ya Uchaguzi Mkuu huku akiwaomba Washiriki wote wajitokeze kupiga Kura ya Rais,Mbunge na Madiwani tarehe 29 Oktoba 2025.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DAS SAIDA MHANGA AFUNGA LIGI YA AMANI CUP KWA NIABA YA DC WARYUBA

    October 26, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    October 24, 2025
  • DAS MHANGA AFUNGUA LIGI YA AMANI CUP

    October 15, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

    October 08, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.