• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA 2025

Posted on: October 6th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Wakili Msomi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amefungua Kikao cha Tathmini ya Utekelezaji wa Shughuli za Maendeleo Robo ya Kwanza Julai=Septemba 2025. Kikao hicho kimefanyika tarehe 4 Oktoba 2025  katika Ukumbi wa Halmashauri ya Malinyi.

Katika Kikao hicho cha cha Tathmini Mada mbalimbali zilijadiliwa kuhusu Kilimo na Mifugo, Maendeleo ya Jamii, Manunuzi, Sheria, Tathmini na Ufuatiliaji, Fedha na Uhasibu, Afya=Saratani ya Matiti, TAKUKURU-Utawala Bora, Uhamiaji, Polisi, Misitu-TFS, Barabara-TARURA, Maji-RUWASA.

Katika hotuba yake ya Ufunguzi Mheshimiwa DC alitoa shukrani za dhati kwa Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumpatia kipande cha Malinyi akisimamie kama Mkuu wa Wilaya.

Mheshimiwa DC Waryuba alimpongeza DED Katimba kwa  uthubutu wake wa kutengeneza Magari mabovu ya Halmashauri na amemtaka DED Katimba na Afisa Usafirishaji (TO) wasiwavumilie madereva wazembe huku akisisitiza dhana ya Kisheria ya "Contributory Negligence" Dereva aliyesababisha Uzembe, Uharibifu na hasara afidie kulipa akisema Utamaduni huu ukitengenezwa na kutumika utasaidia.

Mheshimiwa DC Waryuba amewataka Madereva wawe waadilifu na wafanyiwe Vetting, na hataki kusikia ajali za hovyo hovyo, waendeshe kwa spidi ya kawaida sio kali.

Mheshimiwa DC pia ameagiza Watu wa AMCOS washirikishwe kwenye Vikao vya Halmashauri.

Mheshimiwa DC Waryuba aligusia suala la Uwekezaji Malinyi mfano Kilosa Mpepo na dhana ya Kisheria ya "Mutatis Mutandis means Making necessary adjustments or changes to suit the specific situation" Kama kuna Wawekezaji waliopewa Ardhi kuwekeza na hawakuwekeza basi Ardhi hiyo irudishwe Serikalini.

Mheshimiwa DC Waryuba alimuomba DED Katimba atafute maeneo atengeneze Ranchi au atafute Mwekezaji atengeneze Ranchi kwa ajili ya Ufugaji akisema Ranchi itasaidia kuondoa migogoro ya Wakulima na Wafugaji.

Mheshimiwa DC Waryuba amewaomba Watendaji wa Kata na Vijiji wafuatilie Ushirika katika maeneo yao na amewaambia Watumishi wa Umma hawazuiwi kushiriki kwenye Ushirika.

Mheshimiwa DC Waryuba amemuagiza DED Katimba atume timu yake kusuluhisha migogoro ya mipaka kati ya Vijiji mfano Igawa na Biro.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

    November 21, 2025
  • UJUMBE KUTOKA OWM -TAMISEMI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA HALi YA UTOAJi HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MALINYI.

    November 20, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    November 05, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA VIONGOZI NA WANANCHI WA MALINYI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.