• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

Posted on: December 3rd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba ameongoza Kikao cha Jukwaa la Maridhiano Wilaya ya Malinyi. Kikao hiko kimefanyika tarehe 2 Desemba 2025 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Jukwaa la Maridhiano na Amani linaundwa na Makundi mbalimbali kama Viongozi wa Dini, Vijana Maarufu, Wazee Maarufu, Sungusungu, Tiba Asilia, Wanawake,Wafanyabiashara, Wakulima,Wafugaji,Vyama vya Siasa nk. Kikao hiko pia kimehudhuriwa na DED Khamis Katimba, DAS Saida Mhanga na Kamati ya Ulinzi na Usalama.

Katika Kikao hiko Mheshimiwa DC Waryubs alitoa Shukrani za dhati kwa kuwa Uchaguzi Wilayani Malinyi umefanyika kwa Amani na Umeisha salama hivyo ameyashukuru Makundi yote ya Wananchi pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwa kuhakikisha Wilaya ya Malinyi ipo Salama.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema yeye binafsi akiwa mteule wa Rais habagui Mtu yoyote kwa Dini,Kabila, Ufupi,Urefu,au Chama Chochote. Amewaomba Viongozi wa Dini wawafikishie Ujumbe Waumini wao kuhusu Amani Siku ya Ijumaa kwa Waislamu, Jumamosi Wasabato na Jumapili kwa Wakristo wa madhehebu yote. Mheshimiwa DC Waryuba amewaomba wawe mabalozi kwa Waumini, tupinge hamasa za Uchochezi wa fujo hakuna anayependa kuishi kwenye Shida, Hakuna asiyependa Amani.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema Maisha yetu yapo kwenye Hatma yetu, Maisha ya Vijana yapo kwenye hatma zao. Hakuna Mtu wa Nje anayejua Shida za Watu wa Malinyi bali Wana Malinyi watazitatua wenyewe hivyo "Tuhubiri Amani kwenda mbele tufanye Shughuli zetu vizuri mambo yakiharibika hatuna pa kwenda. Ninaomba Ndugu zangu tudumishe Amani" alisema DC Waryuba.

DC Waryuba ametoa Kauli Mbiu ya "Amani iwepo Malinyi na Malinyi iwepo Amani"

Kwa upande wa DED Khamis Katimba amewaomba Viongozi wa Dini wawaelimishe Waumini wao wawe wanashiriki kwenye Shughuli za Miradi ya Maendeleo za Nguvu kazi kama kuweka vifusi,kuchimba msingi nk. Pia ameongelea Mikopo ya Asilimia Kumi(10%) kwa Waliokwisha Faidika na Mikopo hiyo wakumbuke kurudisha ili iweze kuwanufaisha Wananchi wengi. Mwisho DED Khamis Katimba amewaalika Wananchi kuhudhuria kwenye Ufunguzi wa Baraza la Halmashauri Siku ya Alhamisi tarehe 4 Desemba 2025.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    December 03, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWENYE HAFLA(TAFRIJA) YA KUWAPONGEZA WALIMU KWA UFAULU MZURI WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025

    November 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

    November 21, 2025
  • UJUMBE KUTOKA OWM -TAMISEMI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA HALi YA UTOAJi HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MALINYI.

    November 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.