• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

Posted on: October 8th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba ameongoza kikao cha Baraza la Biashara Ngazi ya Wilaya. Kikao hicho kimefanyika tarehe 07 Oktoba 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi. Kikao hicho kinaundwa na Wajumbe wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi.

Katika hotuba yake Mheshimiwa DC Waryuba alisema Vikao vya Baraza la Biashara vinapangwa ili kuleta "Mediation" Upatanishi na Usuluhishi kati ya Sekta ya Umma na Binafsi. Mheshimiwa DC Waryuba amesema kama kuna Changamoto yoyote katika Sekta Binafsi mfano Leseni kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania "TRA". Wahusika kutoka Sekta ya Umma wanapokea malalamiko au changamoto na kutoa majibu,maazimio na maelekezo na Wajumbe wote kutoka Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wana kuwa na hadhi sawa ndani ya Kikao.

Katika Kikao hiko Mheshimiwa DC Waryuba alitoa maelekezo na maazimio kama ifuatavyo;

Amewataka Watu wa Ushirika watoe mafunzo na yaende kwa lugha wanayo ielewa(Lugha yao). Na anataka Spidi kwenye mafunzo yafanyike kwa Vyama vya Msingi.

Ametaka Wakala wa Vipimo(WMA) waandikiwe barua ili wakasimishe madaraka kwa Halmashauri.

Amewataka Wafanyabiashara wadhibitiane, waache wizi kwenye vipimo na mafuta.

Ameagiza Bodaboda wapewe mafunzo.

Ameagiza Wakulima wakajisajili ili waweze kupata Pembejeo (Mbegu Boram Viuatilifu na Mbolea) kwa utaratibu uliowekwa na Serikali.

Tanesco itoe ufafanuzi wa "Tarrif) na "Service Charges" na Elimu itolewe kwa Wananchi.

TRA watoe elimu ya mlipa kodi kwa Wananchi.

Wananchi watunze vyanzo vya Maji ili bwawa la Mwalimu Nyerere liweze kupokea Maji.

Maonesho ya Nane Nane mwakani yaoneshwe ndani ya Wilaya kabla ya kuanza kwa Maonesho ya Kanda ya Mashariki Morogoro.

Halmashauri iangalie namna ya kuanzisha Redio Malinyi "Local Radio"

Mwisho amesema milango iko wazi kwenda kwake na kwa Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Khamis Katimba.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

    October 08, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI

    October 07, 2025
  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA 2025

    October 06, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    October 03, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.