• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

Posted on: October 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba ameongoza Kikao cha Jukwaa la Maridhiano Wilaya ya Malinyi. Kikao hiko kimefanyika tarehe 23 Oktoba 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri.

Jukwaa la Maridhiano na Amani linaundwa na Viongozi wa Dini, Vijana Maarufu, Bodaboda, Sungusungu, Tiba Asilia, Wanawake,Wafanyabiashara, Wakulima, Wafugaji, Wafanyakazi nk.

Katika Kikao hiko Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya alitoa Shukrani kwa Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini kwa kumpa kipande cha Malinyi akisimamie na Shukrani kwa Watumishi wa Umma wakiongozwa na DAS Saida Mhanga na DED Khamis Katimba.

Katika Kikao hiko DC Waryuba alitoa Maelekezo kama ifuatavyo;

Ukatili wa Kijinsia ukemewe na kupigwa vita kwenye Nyumba za Ibada.

Mila na desturi mbaya zikemewe mfano Chagulaga na Ushoga.

Jamii itengeneze Kizazi cha kurithishana mazuri, watoto wadogo chini ya umri wa miaka 18 hawaruhusiwi kwenda kwenye sherehe za usiku na Mwisho wa Sherehe iwe saa sita usiku.

Video za Matusi (Ngono) haziruhusiwi kuonyeshwa Mabandani hivyo Watu wa Utamaduni wafuatilie.

Viongozi wa Dini kuu mbili Wakristo na Waislamu wawafikishie ujumbe Waumini wao Siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kuhusu umuhimu wa Amani.

Kuendesha danguro ni kosa kisheria.

Katika Kikao hicho Wadau wa Jukwaa la Maridhiano na Amani walitoka na Maazimio ( Tamko) yaliyosomwa na Katibu wa Jukwaa la Maridhiano na Amani Wilaya ya Malinyi Ndugu Baguwa Salum Kiwawite kama ifuatavyo;

1.Wanaunga Mkono Kauli Mbiu ya Malinyi Moja kabla ya Uchaguzi na Malinyi Moja baada ya Uchaguzi.

2.Wataendelea kuhamasisha Amani na Utulivu.

3,Watahamasisha maadili mema.

4.Wamekataa maandamano ya kwenye Mitandao.

5.Wanahamasisha Wananchi kujitokeza kwa Wingi kupiga Kura.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA JUKWAA LA MARIDHIANO WILAYA YA MALINYI

    October 24, 2025
  • DAS MHANGA AFUNGUA LIGI YA AMANI CUP

    October 15, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

    October 08, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI

    October 07, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.