• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

Posted on: November 21st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amefungua Kikao kazi cha Wakuu wa Divisheni na Vitengo wa Kilimo,Mifugo, Uvuvi na Ushirika wa Mkoa wa Morogoro. Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi tarehe 20 Novemba 2025.

Katika Kikao hiko Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya alielezea mambo yafuatayo

Amewataka Wataalamu wa Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Ushirika wasijiweke mbali (pembeni) bali wajiamini na kutenda na kama kuna changamoto wazidhibiti.

DC Waryuba ametoa Rai kwa Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro kufanikisha zoezi la Kampeni ya Chanjo ya Mifugo kwa kadri ya Idadi ya Chanjo zilizotolewa.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema Uvuvi Haramu umekithiri katika Bonde la Kilombero hivyo ametoa Rai kwa Mamlaka ya TAWA na Halmashauri zichukue hatua.

Mheshimiwa DC amesema Wizara ya Kilimo imetoa Vifaa vya kupima Afya ya Udongo hivyo ameomba kasi ya Upimaji Afya ya Udongo iongezeke.

Mheshimiwa DC Waryuba amewataka Wataalamu wawe na uwezo na ubunifu kushauri Chama Kikuu (UKICU) kianzishe Viwanda ili viweze kuchakata mazao ghafi ili kuyaongezea thamani na kuongeza Ajira kabla ya kuyauza nje ya Nchi.

Kikao kazi hicho kimejadili na kufanya tathmini kuhusu taarifa zifuatazo;

Taarifa ya Utabiri wa Hali ya Hewa,Taarifa ya Utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani, Taarifa ya Utekelezaji wa Mazao ya Kimkakati, Taarifa ya Usajili wa Wakulima kwenye mfumo wa Utoaji wa Ruzuku wa Mbegu Bora za Mahindi na Wasilisho la Agenda 10/30 Kilimo ni Biashara.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • MENEJA NMB KANDA YA KATI AKABIDHI MSAADA WA VITI NA MEZA 100 PAMOJA NA MADAWATI 100 KWA MKUU WA WILAYA YA MALINYI

    February 16, 2026
  • DC WARYUBA AZINDUA ZOEZI LA UMEZAJI DAWA ZA MINYOO YA TUMBO NA KICHOCHO

    February 15, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI LAPITISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 30.8 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 11, 2026
  • DED KHAMIS KATIMBA AFUNGUA KIKAO KAZI CHA TATHMINI YA MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA NA DARASA LA NNE KWA MWAKA 2024 na 2025

    February 11, 2026
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.