• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

UJUMBE KUTOKA OWM -TAMISEMI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA HALi YA UTOAJi HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MALINYI.

Posted on: November 20th, 2025

Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI anayeshughulikia Masuala ya Afya Ndugu Paul Chaote ambaye ni Mwakilishi wa Naibu Katibu Mkuu (Afya) na Ujumbe wake wamefanya Ziara Wilaya ya Malinyi tarehe 18 Novemba 2025.

Ujumbe huo umekagua Miradi mbalimbali na umefanya ukaguzi wa hali ya utoaji wa Huduma katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi kama vile Ujenzi wa Jengo la Upasuaji (Theatre), Jengo la kuhifadhi Maiti (Mortuary), Kichoma Taka(Incirator), Jengo la Utawala, Ward ya Watoto, Ward ya Wazazi,Phamacy, Stoo,Huduma za Matibabu, Ustawi wa Jamii, Masuala ya Utumishi na Utawala, Bima ya Afya(NHIF), Masuala ya Fedha, Matumizi ya Mifumo na Lishe.

Ndugu Chaote ameomba kuwe na Ushirikiano katika ngazi zote kwenye kukamilisha Miradi kuanzia ngazi ya Manunuzi wazingatie Ubora wa Vifaa(Standard). Kwa Upande wa "Walkway" amesema ujenzi wa jengo la Upasuaji"Theatre" unaweza kuendelea huku Mhandisi Mjenzi na Mhandisi wa Mkoa waone jinsi ya kuyazuia maji kwenye Walkway.

Kwa upande wa DED Khamis Katimba amesema amepokea maelekezo na wamepata Millioni 200 kwa ajili ya jengo la Theatre na ili jengo likamilike inahitajika Millioni 255. Na ameahidi mpaka mwezi Desemba Jengo litakamilika.

Vilevile DED Khamis Katimba ameahidi yeye binafsi atafanya Ziara Hospitali ya Wilaya na atakutana na CHMT ya Afya na ameahidi atayafanyia kazi maelekezo na ushauri uliotolewa kwenye Ziara hiyo ya Ukaguzi wa Hospitali.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

    November 21, 2025
  • UJUMBE KUTOKA OWM -TAMISEMI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA HALi YA UTOAJi HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MALINYI.

    November 20, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    November 05, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA VIONGOZI NA WANANCHI WA MALINYI KUPIGA KURA

    October 29, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.