• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWENYE HAFLA(TAFRIJA) YA KUWAPONGEZA WALIMU KWA UFAULU MZURI WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025

Posted on: November 30th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amewaongoza Walimu wa Shule za Msingi Wilaya ya Malinyi kwenye Hafla(Tafrija) ya kuwapongeza Walimu kwa Ufaulu mzuri wa matokeo ya Darasa la Saba 2025 kwa kushika nafasi ya kwanza Mkoa wa Morogoro. Hafla hiyo imefanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nawigo tarehe 29 Novemba 2025.

Hafla hiyo ilipambwa na Burudani na Matukio mbalimbali kama kucheza kwaito,Mashairi,Dua na Sala, Kukata Keki Shampeni ambapo Shule 10 Bora zilitambulishwa ambapo Walimu waliotoa A nyingi walipewa Barua za pongezi na Pesa Taslimu.

Katika hotuba yake Mheshimiwa DC ametoa pongezi kwa Mheshimiwa Mbunge, Mkurugenzi wa Halmashauri na Walimu wote 469 wa Shule za Awali na Msingi na Wazazi. Ambapo amesema Walimu wametekeleza Mkakati walioupanga pamoja ndio maana matokeo yamekuwa mazuri. Amesisitiza Walimu wanahitaji Pongezi kwani kuyahamisha Maarifa kwenda kwa Mtoto Mdogo siyo jambo dogo.

DC Waryuba alielezea dhana ya Uelewa ya "Mwalimu ni Ualimu na Ualimu ni Mwalimu" na ametaka Watoto wale vyakula vyenye virutubisho ili waweze kushika mambo kwa haraka. Na amesema Suala la Chakula Shuleni Sio la Hiari, Na anataka mikakati iwepo pia kwa upande wa Sekondari ili nao wafaulishe vizuri kams Msingi.

Kwa upande wa somo la Hisabati DC Waryuba amesema yeye ni Bingwa hivyo anataka akutane na Walimu wa Hisabati awape mbinu za kufundisha ili Mwanafunzi aelewe Hisabati.

"Tunaposema Hongereni, tunawabariki ili msonge mbele, Hongereni Walimu wangu" alisema DC Waryuba. Na amesisitiza suala la Amani tuilinde Amani ya Nchi yetu kama "DHAHABU" tupendane, tusibaguane kwa Dini, Rangi au Kabila.

Kwa upande wa Mbunge Mheshimiwa Mecktrids Mdaku amesema Walimu anawathamini, anawapenda, na yupo pamoja nao, atashirikiana na Walimu kwa hali na mali na ameahidi atafanya Kikao na Walimu wote ambapo kwenye Hafla hiyo Mheshimiwa Mbunge amechangia Tsh. 2,150,000/= za Maziwa na DC Waryuba ametoa Mifuko ya Sukari kwa Shule zote 43 za Wilaya ya Malinyi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI KWENYE HAFLA(TAFRIJA) YA KUWAPONGEZA WALIMU KWA UFAULU MZURI WA MATOKEO YA DARASA LA SABA 2025

    November 30, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI MHESHIMIWA SEBASTIAN WARYUBA AMEFUNGUA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA DIVISHENI NA VITENGO WA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA wA MKOA WA MOROGORO.

    November 21, 2025
  • UJUMBE KUTOKA OWM -TAMISEMI WAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA HALi YA UTOAJi HUDUMA KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA MALINYI.

    November 20, 2025
  • SALAMU ZA PONGEZI

    November 05, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.