• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHIRIKA CHA TATHMINI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI WILAYA YA MALINYI

Posted on: September 25th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba ameongoza Kikao cha Ushirika cha Tathmini ya Mfumo wa Stakabadhi Ghalani Wilaya ya Malinyi.Kikao hiko kimefanyika tarehe 23 Septemba 2025 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema lengo la kuitisha Kikao ni kufanya tathmini kwa kujadili na kujua Ushirika Malinyi unaendaje mbele. Mheshimiwa DC Waryuba amesema kuna Miongozo inayoongoza kufanya mambo hayo ambayo ni Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 na Sheria ya Ushirika Namba 6 ya Mwaka 2013 zinaelekeza kutoa mafunzo kwa Vyama vya Ushirika ili kuhakikisha vyama vya Ushirika vinakuwa na uwezo wa kujisimamia hivyo Mheshimiwa DC Waryuba amesema hayuko tayari kuona Ushirika unadorora Malinyi kwani Watu wa kuutengeneza na kuusimamia Ushirika ni Wadau wa Ushirika wenyewe.

Katika Kikao hiko Mheshimiwa DC Waryuba ametoa maelekezo kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa DC Waryuba anataka Msimamizi wa Maghala kwa Wilaya ya Malinyi awe mmoja kuanzia msimu wa zao la mbaazi.

Mheshimiwa DC Anataka Wataalamu wa Halmashauri waainishe Mbegu bora, Mbegu za aina gani zinatakiwa Malinyi.

Mheshimiwa DC ametaka  Chama cha Ushirika UKIKU watoe Fedha kwa Vyama vya Msingi na Vyama vya Msingi ndivyo viwalipe Wakulima wao kuanzia msimu wa zao la mbaazi.

Mheshimiwa DC amezitaka AMCOS zote 22 zilizopo Malinyi ziajiri Makatibu, Wahasibu na Makarani.

Mheshimiwa DC amewataka UKIKU wafungue Ofisi yao Wilayani Malinyi ili wawe na mwakilishi atakayejibu hoja za Ushirika.

Mheshimiwa DC ameyataka Mabenki yaache Urasimu yawafuate Wakulima walipo

Mheshimiwa DC ametaka Wafanyakazi wa Mifugo waende kutoa chanjo za mifugo wenyewe, wasiwaachie wafugaji wachanje wenyewe.

Mheshimiwa DC ametaka kuwe na Orodha ya Wakulima (Data base) ili idadi ya wakulima ijulikane.

Mheshimiwa DC amewataka Chama cha Ushirika UKIKU waajiri wafanyakazi na wawape  Mikataba ya Ajira.

Mwisho Mheshimiwa DC Waryuba amewaomba Wadau wa Ushirika ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025 watumie haki yao wajitokeze kupiga Kura ya Rais, Mbunge na Madiwani.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DAS MHANGA AWAONGOZA WANA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI

    September 27, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHIRIKA CHA TATHMINI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI WILAYA YA MALINYI

    September 25, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WANANCHI WA NGOHERANGA KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA MAENDELEO

    September 22, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

    September 22, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.