• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI

Posted on: October 7th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amewaongoza Walimu wa Wilaya ya Malinyi kwenye Maadhimisho ya Siku ya Mwalimu Duniani. Maadhimisho hayo katika Wilaya ya Malinyi yameadhimishwa kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Nawigo, Kata ya Malinyi, Tarafa ya Malinyi tarehe 5 Oktoba 2025.

Maadhimisho hayo yamehusisha Michezo mbalimbali ikiwemo kukimbiza Kuku, Kuvuta Kamba, Mbio za Magunia,Kucheza Muziki, Mpira wa Pete (Netball), Modern Athletics na Mchezo wa Mpira wa Miguu kati ya Mtimbira na Kombaini ya Malinyi na Ngoheranga ambapo kombaini ya Ngoheranga na Malinyi waliibuka na ushindi wa Penati 5-4.

Katika hotuba yake Mheshimiwa DC Waryuba alimshukuru Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini na kumuachia kipande cha Ardhi cha Malinyi aendelee kukisimamia kama Mkuu wa Wilaya.

Mheshimiwa DC Waryuba aliongelea Falsafa ya "Mwalimu ni Ualimu na Ualimu ni Mwalimu" Mheshimiwa DC Waryuba amewataka Walimu wot, TSC,Mdhibiti ubora wa Elimu ya kuwa Siku ya Mwalimu ni Siku ya kutafakari na kuona walipotoka, walipo na wanapoelekea.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema Mwalimu ni Ualimu na Ualimu ni Mwalimu maneno haya yana mantiki pana hakuna Mtu asiyekuwa zao la Mwalimu. Mheshimiwa DC Waryuba amesema zipo changamoto kwa Walimu zinatofautiana na yapo mambo makubwa Walimu wameyafanya.

Mheshimiwa DC Waryuba amewataka Walimu wajumuike na wenzao (Socialization) na kuwataka wasijidharau wala kujikinai.

Mheshimiwa DC Waryuba amesema Walimu ni Sayansi, Sanaa,Taaluma, Hakuna Nchi iliyoweza kuendelea bila Walimu. Pia ukitaka kocha mzuri wa mchezo wowote ule kama Riadha, Mpira wa Miguu, Mpira wa Pete( Netball) utawapata kwenye Ualimu na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji  Ndugu Khamis Katimba aangalie uwezekano wa kupeleka Timu ya Wachezaji wa Mpira wa Miguu kwenye Mashindano yajayo ya SHIMISEMITA.

Mwisho amewataka Walimu wajitokeze kupiga Kura ya Rais, Mbunge na Madiwani ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025 na wahamasishe Amani na Utulivu uendelee katika Wilaya ya Malinyi kwani yapo Maisha baada ya Uchaguzi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

    October 08, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI

    October 07, 2025
  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA 2025

    October 06, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    October 03, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.