• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AWAONGOZA WANANCHI WA NGOHERANGA KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA MAENDELEO

Posted on: September 22nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amewaongoza Wananchi wa Tarafa ya Ngoheranga kwenye Bonanza la kuhamasisha Maendeleo ambalo limefanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ngoheranga.

Bonanza hilo limehusisha Michezo mbalimbali kama Kukimbiza Kuku, Mashindano ya Kula, Maigizo, Mbio za Magunia, Sarakasi, Mpira wa Miguu Wanawake Tanga Princes vs Mabanda ambapo Tanga waliibuka kwa ushindi wa Penati 3=2. Upande wa Wanaume ilikuwa Sodo Master vs BICON ambapo BICON walishinda kwa Penati 5-4.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya katika Hotuba yake alitoa Shukrani kwa Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan. Amesema Daktari Samia amefanya mambo makubwa Malinyi kwenye Miundombinu, Elimu, Afya, Kilimo,Mifugo nk na hivi karibuni wakazi wa Ngoheranga wamepata Mahakama ya Mwanzo.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema lengo la Bonanza ni kuhamasisha maendeleo na maendeleo yanaletwa na Watu. DC Waryuba amewahimiza Wananchi waendelee kuendeleza Maendeleo kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi na Michezo. Amesema Wilaya ya Malinyi kuna haja ya kuwa na timu kubwa ya mpira wa miguu itakayoshiriki mashindano makubwa.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amesema lengo la Bonanza ni kuhamasisha maendeleo na maendeleo yanaletwa na Watu. Dc Waryuba amewahimiza Wananchi waendelee kuendeleza maendeleo kwenye Sekta ya Kilimo, Uvuvi na Michezo. Amesema Wilaya ya Malinyi kuna haja ya kuwa na timu kubwa ya Mpira wa Miguu itakayoshiriki mashindano makubwa.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya amewahamasisha Wafugaji wachanje Mifugo yao na Mifugo ipate hereni. Mheshimiwa DC Waryuba ametoa maelekezo kwa TAWA wakishirikiana na Afisa Wanyamapori waweke mikakati ya kuzuia Wanyama Pori waletao kero kwa Wananchi mfano Tembo.

Mheshimiwa DC Waryuba alielezea dhana ya Maendeleo ili Jamii iendelee inahitaji Watu,Ardhi,Uongozi Bora na Siasa safi. Mwisho amewaomba Wananchi wa Malinyi ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025. Wananchi wanatakiwa watimize haki yao kwa kujitokeza kupiga Kura ya Rais, Mbunge na Madiwani.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DAS MHANGA AWAONGOZA WANA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI

    September 27, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHIRIKA CHA TATHMINI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI WILAYA YA MALINYI

    September 25, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WANANCHI WA NGOHERANGA KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA MAENDELEO

    September 22, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

    September 22, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.