• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DC WARYUBA AZINDUA ZOEZI LA UANDIKISHAJI ORODHA YA WAPIGA KURA MALINYI

Posted on: October 11th, 2024

Mapema leo tarehe 11 Oktoba, 2024 Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amefanya uzinduzi rasmi wa zoezi la uandikishaji orodha ya Wapiga kura Katika Wilaya ya Malinyi.


Mhe. Waryuba ametekeleza zoezi hilo Kijijini kwake Misegese Kitongoji cha Salatogwa Kata ya Malinyi, Tarafa ya Malinyi Wiyani Malinyi.


Mara baada ya kujiandikisha Wakili Msomi Sebastian Waryuba alipata wasaa wa kuzungumza na Wakazi wa Kijiji cha Misegese waliokuwa wamekusanyika katika kituo hiko kwaajili ya kujiandikisha na kuwaomba Wakazi hao wawahamasishe wenzao ambao bado hawajajiandikisha waweze kujiandikisha ili waweze kuchagua Viongozi watakaowaongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano


Sambamba na hilo Mhe. Waryuba akishirikiana na Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Jaaphar Katimba walitoa elimu ya kujiandikisha katika orodha ya Wapiga kura pamoja na elimu ya kupiga kura kwa Wakazi hao.


Aidha Mhe, Waryuba na Ndugu Khamis Jaaphar Katimba walijibu maswali mbalimbali yaliyoulizwa na Wakazi wa Kijiji cha Misegese kuhusu kujiandikisha katika orodha ya Wapiga kura pamoja na kupiga kura.


  MALINYI TUMEAMUA, TUMEZINDUA NA TUNAENDELEA


 "SERIKALI ZA MITAA, SAUTI YA WANANCHI, JITOKEXE KUSHIRIKI UCHAGUZI"

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.