• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DED KATIMBA AFUNGA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

Posted on: September 22nd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Katimba amefunga Mafunzo ya Mfumo wa FFARS katika tarafa ya Ngoheranga tarehe 18 Septemba 2025.Lengo la mafunzo hayo ni kutoa ujuzi dhidi ya mfumo wa matumizi ya Fedha za Serikali kwenye vituo vya kutolea huduma. Mafunzo hayo ya siku 2 kwa Wilaya ya Malinyi yamefanyika katika tarafa ya Mtimbira ambako kulikuwa na Washiriki 94, Malinyi washiriki 70 na Ngoheranga washiriki 50.Jumla Kuu washiriki 214.

Mafunzo hayo yaliwahusisha Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari wanaofanya kazi za Kihasibu, Watendaji wa Kata na Vijiji, Maafisa Maendeleo ya Jamii, Waganga  Wafawidhi wa Zahanati na Vituo vya Afya.

Mkurugenzi Mtendaji alisisitiza kila Fedha inayokusanywa lazima ionekane kwenye Mfumo alishauri Washiriki watumie siku ya Jumatatu kuandaa Ripoti na Jumanne kuangalia ripoti na kujadili. DED Katimba alisisitiza Vijiji wasimamie mapato ya makusanyo ya Vijiji na kila Kata Wajumbe wa Menejimenti ya Kata( Ward Management Team) Kila Mjumbe awe mlezi wa Kijiji ili aweze kujua  mambo "technical issues" ndani ya Kijiji kwa uzuri na ufasaha zaidi.

Mkurugenzi Mtendaji aliwahimiza Washiriki kuendelea kuhamasisha kusimamia miradi na kufatilia biashara zipi zina vibali halali/leseni za biashara.

DED Katimba amesema Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi imepokea Fedha Taslimu Tsh. Billioni 1.5 toka Serikali Kuu na mapato ya ndani kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DAS MHANGA AWAONGOZA WANA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA AFYA YA MAZINGIRA DUNIANI

    September 27, 2025
  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA USHIRIKA CHA TATHMINI YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI WILAYA YA MALINYI

    September 25, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WANANCHI WA NGOHERANGA KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA MAENDELEO

    September 22, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGA MAFUNZO YA MFUMO WA FFARS

    September 22, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.