• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

DED KATIMBA AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

Posted on: October 3rd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Katimba amefungua Semina Elekezi kwa Viongozi wa Jamii na Watoa Huduma ya Afya ya Msingi kuhusu Saratani ya Matiti. Semina hiyo Elekezi kuhusu Saratani ya Matiti ambayo imefadhiliwa na Shirika la Jhpiego imefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Malinyi tarehe 2 Oktoba 2025.

Kwa upande wa mtoa Mada Daktari Emmanuel Chogo ambaye ni Daktari Bingwa kutoka Hospitali ya Wilaya ya Malinyi alielezea Saratani ya Matiti ni Ugonjwa unaotokana na chembe chembe hai katika Matiti ambazo hukua na kugawanyika bila udhibiti maalumu. Chembechembe hizo za Saratani zinaweza kusambaa kutoka kwenye matiti hadi sehemu nyingine za mwili kwa kupitia mfumo wa damu.

Dk.Chogo amesema ni muhimu kwa Wanawake na Wanaume kufahamu dalili za Saratani ya Matiti ili kuweza kuchunguza, kubaini na kupata tiba ya Saratani hiyo mapema. Daktari Chogo alielezea mambo mengi kwa mfano Jinsi ya kujilinda na Saratani ya Matiti, Tiba ya Saratani ya Matiti, Jinsi ya Kujikinga, Wajibu wa Viongozi wa Jamii kuhusiana na Saratani ya Matiti.

Kwa Upande wa DED Katimba aligusia kuhusu Mtindo Bora wa Maisha ili kulinda Afya ya Wafanyakazi, alisisitiza Suala la Lishe kwa Watumishi wa Umma na amewaomba wawe wanahudhuria mazoezi. Amesema " Afya is the First Capital" kila kitu tunacho " enjoy" na kufurahia ni kwa sababu ya Afya bora inabidi Watu wajiangalie kwenye Lishe na Afya.

DED Katimba amesema ili Ujumbe uwafikie Watu wengi zaidi amewaalika watoa Mada washiriki kwenye Kikao cha Halmashauri cha Tathmini ya Robo ya kwanza ya Mwaka kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 kitachofanyika tarehe 4 Oktoba 2025 kwenye Ukumbi wa Halmashauri.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DC WARYUBA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA BIASHARA NGAZI YA WILAYA

    October 08, 2025
  • DC WARYUBA AWAONGOZA WALIMU WA MALINYI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MWALIMU DUNIANI

    October 07, 2025
  • DC WARYUBA AFUNGUA KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO ROBO YA KWANZA JULAI-SEPTEMBA 2025

    October 06, 2025
  • DED KATIMBA AFUNGUA SEMINA ELEKEZI KUHUSU SARATANI YA MATITI

    October 03, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.