• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

HALMASHAURI MKOANI MOROGORO ZATAKIWA KUIGA MFANO WA AFISA MAPATO - MALINYI

Posted on: March 8th, 2025

Halmashauri za Mkoa wa Mororogoro hususan sekta ya mapato zimetakiwa kuiga mfano wa Afisa mapato wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Bi Agness Lyanga ambaye ameibuka Mwanamke kinara katika Mkoa wa Morogoro kwa ukusanyaji na usimamizi mzuri wa mapato kwa asilimia 98 kwa kipindi cha mmiezi 8.


Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Dunstan Kyobya wakati akimkabidhi Bi Agness Lyanga zawadi ya fedha taslim sh 500,000 katika maadhimisho ya siku ya Wanawake yaliyofanyika K8mkoa Machi 8, 2025 katika Halmashauri ya Mji Ifakara.


“Agness Lyanga ni Mwanamke pekee na kinara katika Mkoa wa Morogoro aliyeiwezesha Halmashauri yake kukusanya mapato kwa asilimia 98 kwa kipndi cha miezi 8,Halmashauri zingine Mkoani Morogoro igeni mfano kwa Mwanamke huyu kinara kutoka Malinyi” amesema DC Kyobya.


Kwa upande wake Mkuugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Jaaphar Katimba amesema kuwa Wajumbe wa Kamati tendaji ya Halmashauri (CMT) katika kikao cha mwezi februari walipendekeza kuwa Bi Agness Lyanga apewe zawadi ya shilingi 500,000 ikiwa ni sehemu ya kuthamini na kutambua jitihada zake katika sekta hiyo ya mapato kwa kipindi cha mwaka 2024/2025 ambapo pendekezo hilo lilikubaliwa na Wajumbe wote wa Kamati tendaji ya Halmashauri na kukubaliana kumkabidhi zawadi hiyo katika maadhimisho ya siku ya Wanawake. 


Naye Mwanamke Kinara Mkoani Morogoro kwa mwaka 2025 Agness Lyanga amesema kuwa amefarijika sana kuona kwamba jitihada zake zimetambuliwa na kuthaminiwa, na kuongeza kuwa zawadi hiyo imempa hamasa ya kuendelea kujituma na kufanya vizuri Zaidi.

 

 "Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe haki usawa na uwezeshaji"

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DED MALINYI AWATAKA WAKULIMA ,WAVUVI, NA WAFUGAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOJITOKEZA MALINYI

    June 05, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.