• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: April 24th, 2025



Mkuu wa wilaya ya Malinyi wakili Sebastian Waryuba ameisifu Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi kwa kusimamia vizuri ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri hiyo na kufanya kwa kipindi cha robo ya tatu ya kusanyaji kufika asilimia 99.5.


Mhe. Wakili Waryuba ameyasema  hayo Aprili 24, 2025 katika Mkutano wa  kawaida Baraza  la Madiwani ulioketi kujadi taarifa za utekelezaji robo ya tatu 2024/ 205 ambapo Mhe. Waryuba  alishauri Baraza hilo kuongeza kubuni vyanzo vipya vya mapato vitakavyosaidia kupata fedha ya kumalizia miradi mbalimbali iliyopo wilayani humo.

Naye Khamisi Katimba ni mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Malinyi amebainisha sababu zilizopelekea Halmashauri hiyo kufanikiwa ni pamoja na mshikamano Miongoni wa Waheshimiwa Madiwani,Watendaji pamoja na Watalam. 


Aidha mkurugenzi  Mtendaji  Katimba ameongeza kuwa  katika jitihada za kufikia hapo ni pamoja na kuhakikisha kuwa mianya yote inayosababisha utepotevu wa mapato inadhibitiwa.


Naye Khamisi Katimba  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya  Wilaya Malinyi amebainisha sababu zilizopelekea Halmashauri hiyo kufanikiwa ni pamoja na mshikamano Miongoni wa Waheshimiwa Madiwani,Watendaji pamoja na Watalam. 


Aidha mkurugenzi Katimba ameongeza kuwa  katika jitihada za kufikia hapo ni pamoja na kuhakikisha kuwa mianya yote nayosababisha utepotevu wa fedha inadhibitiwa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.