• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWAONGOZA WANANCHI KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Posted on: September 14th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mheshimiwa Sebastian Waryuba amewaongoza Wananchi wa Tarafa ya Mtimbira kwenye Bonanza la Kuhamasisha Shughuli za Maendeleo ambalo limefanyika kwenye Viwanja vya Shule ya Msingi Madibira Juu tarehe 13 Septemba 2025.

Bonanza hilo limehusisha Michezo mbalimbali ikiwemo Kukimbiza Kuku, Mashindano ya Kula, Kuvuta Kamba,Ngoma, Sarakasi na Mchezo wa Mpira wa Miguu kati ya Mtimbira vs Usangule, ambapo Usangule waliibuka na Ushindi wa Goli 1=0 na kukabidhiwa kombe la Ushindi.

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi katika Hotuba yake alitoa Shukrani kwa Mheshimiwa Rais Daktari Samia Suluhu Hassan kwa maboresho aliyoyafanya Malinyi katika kipindi chake cha Uongozi kwenye Sekta mbalimbali kama Elimu, Afya nk.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi amewaomba Wananchi waondoe Migogoro kati ya Wakulima na Wafugaji na amewataka Wafugaji waende kuchanja Mifugo yao. Mheshimiwa Waryuba amewaomba Wananchi wawe Mabalozi wa Maendeleo ndani ya Kaya, Kijiji mpaka Kitongoji kila mmoja awe Balozi wa Maendeleo.

Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Malinyi amewaomba Wananchi kudumisha Amani na Usalama, amewataka Wananchi wapendane bila ya kubaguana. Mwisho amewaomba Wananchi Wajitokeze kupiga Kura ya Rais,Wabunge na Madiwani ifikapo tarehe 29 Oktoba 2025.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWAONGOZA WANANCHI KWENYE BONANZA LA KUHAMASISHA SHUGHULI ZA MAENDELEO

    September 14, 2025
  • OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA YATOA MAFUNZO KUHUSU MAADILI KWA VYAMA VYA SIASA

    September 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI IMEPOKEA MALIPO YA RUZUKU YA MPANGO WA TASAF

    August 22, 2025
  • DED KATIMBA KUONGOZA MSAFARA WA TIMU YA HALMASHAURI KWENYE MASHINDANO YA SHIMISEMITA.

    August 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.