• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

Posted on: May 15th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kuhakikisha suala la utolewaji wa chakula shuleni ni la lazima na endelevu.


DC Waryuba ameyasena hayo mapema Mei 15, 2025 katika kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe robo ya 3 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ulipo katika Kijiji cha Misegese.


DC Waryuba pia amewataka Wataalam wa afya kuendekea kutoa elimu kwa Wananchi hususan akina mama Wajawazito juu ya madhara yatokanayo na kutokutumia kwa usahihi vidonge vya madini chuma na folic acid.


kwa upande wake Mganga Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Daktari Julius Nyasongo amesema jamii ina mtazamo hasi juu ya vidonge vya madini chuma na folik acid kwa Wajawazito na hivyo wengi wao hawazitumii kwa usahihi na hivyo kupelekea madhara makubwa ikiwa ni pamoja na upungufu wa damu pamoja na magonjwa yatokanayo na uzazi.


katika kuhakikisha kuwa Wanafunzi wanapata chakula cha mchana wakiwa shule Matendaji wa Kata ya Mtimbira Ndugu Samweli Milangasi anasema moja ya changamoto anazokutana nazo kwenye Kata yake pale anapolazimika kuwakamata na kuwaweka ndani Wazazi wasochangia chakula cha Watoto shuleni ni Wazzi hao kutokua na uwezo wa kulipa gharama zinazotakiwa katika zoezi hilo.


Akizungumza kwa niaba ya Viongozi wa dini Wilaya ya Malinyi, Shekhe wa Wilaya Ndugu Mohamed Nwinyi ameiomba Idara ya afya kuaandaa vipeperushi ambavyo vinaelimisha kuhusu umuhimu wa lishe ambavyo vitawasaidia Viongozi na Waumini wa dini zote kupata uelewa kuhusu umuhimu wa lishe.


Hata hivyo, Akizungmzia umuhimu wa lishe kwa vijana balehe Afisa lishe wa Wilaya Bi Bi Betrida Makuvila amesema vijana wengi wana upungufu wa damu unaosababishwa na ulaji wa vyakula visivyo na virutubisho.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI KHAMIS KATIMBA AFUNGUA MAFUNZO KWA WATENDAJI WA UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA JIMBO LA MALINYI AWMU YA PILI

    May 14, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.