• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

TUNAHITAJI KUWA NA UHUSIANO MZURI KATI YA SERIKALI KUU NA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: September 9th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Malinyi Mhe Sebastian Waryuba amesema kuwa ni muhimu kuwa na uhusiano mzuri kati ya Serikali Kuu na Serkali za Mitaa na kuongeza kuwa hakuna haja ya kutokuelewana kwani wote wanajenga nyumba moja.


Mhe. Waryuba ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utawala bora yaliyofanyika leo Septemba 9, 2024 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri na kuwahusisha Viongozi wa Chama, Wahe. Madiwani, Kamati ya Ulinzi na usalama, Wakuu wa Idara na Vitengo, Makatibu Tarafa, na Watendaji wa Kata


 "Mafunzo haya elimishi, Mafunzo elekezi hayabagui, yamelenga kuelimisha , nawaomba Washiriki wote muyazingatie kwa umakini na mkayatumie katika utendaji kazi wenu na hasa katika kipindi hiki ambacho tupo katika maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili kuhakikisha zoezi hili la uchaguzi linaenda vizuri.


Aidha, Mhe, Waryuba amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Khamis Jaaphary Katimba kwa ubunifu wa kuandaa mafunzo hayo na kuongeza kuwa hayo ndio mambo muhimu aliyokua akitaka kuyaona yakifanyika katika Wilaya ya Malinyi.


Sambamba na Hilo, Mhe. Waryuba pia amewaomba Watumishi na Washiriki wa mafunzo hayo kumpa ushirikiano Mkurugenzi huyo wa Halmashauri ya Wialaya ya Malinyi ili aweze kutekeleza najukumu yake kwa ufanisi


Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye pia ni Diwani wa Kata ya mtimbira Mhe. Jane Komba amemshukuru Mhe. Waryuba kwa ufunguzi wa mafunzo hayo na kuongeza kuwa mafunzo hayo yataleta mabadiliko chanya katika utendaji kazi wa Washiriki katika kuwahudumia Wananchi katika maeneo yao.


Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi yalilenga kutoa elimu katika eneo la Utawala bora, Mipango na bajeti (Mahusiano kati ya Serikali Kuu na Serikali za Mitaa, Kanuni za kudumu za Halmashauri, uendeshaji wa vikao, vikao vya Kata na Vijiji, bajeti idhinishwa, Mapato ya ndani, Hoja za ukagauzi pamoja na taratibu za manunuzi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.