• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

VIKAO BAINA YA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA VIMEDUMISHA AMANI NA UTULIVU

Posted on: November 12th, 2024

Hayo yamesemwa na Masimamizi wa uchaguzi Jimbo la Malinyi Ndugu Khamis Jaaphar Katimba Novemba 12, 2024 katika kikao cha 6 kilichofanyika katika Ofisi za Halmashauri baina yake na Viongozi wa vyama vya Siasa Wilayani Malinyi.


Ndugu Katimba amesema kuwa tangu kuanza kwa zoezi la uandikishaji amekuwa na utaratibu wa kukutana na Viongozi wa vyama vya siasa ili kufanya tathimini ya pamoja kwa yale yaliyopita, kupanga mikakakati ya masuala yanayotarajiwa kufanyika pamoja na kupeana elimu juu ya masuala ya uchaguzi na kuongeza kuwa mwendelezo wa vikao hivi vimesaidia kudumisha hali ya utulivu na Amani.


”Kwa maudhui ya leo tulikua tunajadili shughuli zilizo mbele yetu ikiwa ni pamoja na utayarishaji wa ratiba za kampeni, ufanyikaji wa kampeni, upigaji wa kura, kuhesabu kura pamoja na matokeo ya upigaji kura, tumekubaliana kuwa hiki ndicho kikao chetu cha mwisho kabla ya uchaguzi, na tunatarajia kukutana tena baada ya uchaguzi kama hakutakua na dharura itakayojitokeza hapa katikati kufanya tathimini ya zoezi zima la uchaguzi ”amesema Katimba


“Kutokana na misingi ambayo tumejiwekea inanipa matumaini mimi kama msimizi wa uchaguzi kuwa tutamaliza zoezi hili la uchaguzi vizuri, kwa Amani na upendo” amesema Katimba 


Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF wilaya ya Malinyi ndugu MIraji Ngapulila amesema vyama vya siasa vimeshirikishwa tangu mwanzoni mwa zoezi la uandikishaji na kwamba wameshiriki kikamilifu katika vikao 6 vilivyoitishwa na Msimamizi wa uchaguzi na wamejadili masuala mbalimbali yanayohusu uchaguzi.


“Kwaniaba ya vyama vya Siasa Wilaya ya Malinyi tunamshukuru Msimamizi wa Uchaguzi kwa ushirikiano aliotupatia tangu mwanzo wa zoezi hili,tunaomba ushirikiano huu uendelee hata baada ya uchaguzi, tuendelee kushirikishwa kwenye mambo mbalimbali ya kuiletea maendeleo Malinyi”amesema Ngapulila


Mwenyekiti huyo wa CUF Mlinyi amewaomba Wananchi wote Wa Malinyi waliojiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura wajitokeze kwa wingi tarehe 27/11/2024 waweze kuchagua Viongozi watakaowaongoza katika kipindi kingine cha miaka mitano.


Hata hivyo Ndugu Ngapulila amesema kuwa Viongozi wa vyama vya siasa Wilaya ya Malinyi wako tayari kuhakikisha kuwa uchaguzi unafanyika na kumalizika kwa Amani na utulivu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.