• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

WAENDESHA BVR NA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI WATAKIWA KUIFANYA KAZI HIYO KWA UMAKINI

Posted on: February 28th, 2025

Waendeshaji wa vifaa vya Bayomtrik (BVR) na waandikishaji wasaidizi wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura wametakiwa kuifanya kazi hiyo kwa umakini wa hali ya juu


Hayo yamesemwa na Afisa Mwandikishaji Jimbo la Malinyi Ndugu Khamis Jaaphar Katimba wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa Waendesha vifaa Bayometrik (BVR)na Waandikishaji wasaidizi  wa uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura Jimbo la Malinyi yaliyofanyika februari 26 -27/2025 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri.


Ndugu Katimba amewataka washiriki  wa nafasi ya uendeshaji vifaa Bayometrik (BVR)na Waandikishaji wasaidizi kusimama kwa ufasaha katika nafasi zao na kwamba hatakuwa tayari kuona uzembe wa hali yoyote unajitokeza katika zoezi hilo.


Naye Mkuu wa Takukuru Wilaya ya Malinyi Bi Sikujua Kimweri amewaasa Washiriki hao kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu, kanuni, miongozo ya mafunzo na sheria za utumishi wa Umma ili kuepuka kuingia kwenye hatia na kuliingiza Taifa katika hasara.


Hata hivyo, Wawezeshaji wa mafunzo hayo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa nyakati tofauti wamewataka Washiriki wa mafunzo hayo kuifanya kazi hiyo kwa kuzingatia miongozo ya mafunzo waliyoyapata ili zoezi hilo liweze kufanyika kwa weledi.


 Zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la Wapiga kura  kwa jimbo la Malinyi na Mkoa wa Morogoro linatarajiwa kuanza rasmi Machi 1/2025 na litakamilika Machi 7/2025.


 ‘KUJIANDIKISHA KUWA MPIGA KURA, NI MSINGI WA UCHAGUZI BORA’


Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • DED MALINYI AWATAKA WAKULIMA ,WAVUVI, NA WAFUGAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOJITOKEZA MALINYI

    June 05, 2025
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA MALINYI ATOA WITO KWA WAKAZI WA MALINYI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA NA KUHAKIKI TAARIFA ZAO

    May 16, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHULENI

    May 15, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA MALINYI AWATAKA WATENDAJI KATA NA VIJIJI KUHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA SHUKENI

    May 15, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.