• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

WANANCHI WA MALINYI WANAHITAJI HUDUMA BORA ZA AFYA

Posted on: August 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema kuwa Wananchi wa Wilaya ya Malinyi wanahitaji huduma bora za afya kutoka kwa Wataalam wa afya.


Mhe. Waryuba ameyasema hayo Agost 28, 2024 wakati akizungumza katika kikao cha uwasilishaji wa taarifa za robo ya nne (April-Juni kwa mwaka 2023/2024) kutoka kwa timu ya waendeshaji huduma za afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi, Waganga wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya pamoja na Wadau wanounga mkono juhudi za Serikali katika sekta ya afya.


Mhe. Waryuba amesema kuwa huduma zinazotolewa na Wataalam wa afya zinapimwa na Wananchi hivyo amewaomba Wataalam hao kuzingatia utoaji wa huduma bora kwa Wateja wao kwani utoaji wa huduma bora hauhitaji pesa bali ni moyo wa upendo wa mtoa huduma kwa mteja wake.


“Nawasihi baada ya kikao hiki nendeni mkafanye kazi upya, mnapotoa huduma jaribuni kuvaa viatu vya Wagonjwa, kuweni na mawasiliano mazuri na Wagonjwa na wafanyeni Wagonjwa watamani kurudi tena kupata huduma katika vituo vyenu vya kutolea huduma za afya.” Amesema Mhe. Waryuba 


Aidha, Mhe. Waryuba amesema anatambua kuwa sekta ya afya inakabiliwa na uhaba wa Watumishi hivyo amewasihi Wataalam hao wa afya kufanya kazi kwa upendo kwani Serikali bado inaendelea kuajiri Watumishi katika sekta hiyo.


Sambamba na hilo, Mkuu huyo wa Wilaya ameielekeza Ofisi ya Mkuu wa divisheni ya afya, ustawi wa Jamii na Lishe kuhakikisha kuwa Vijana wanaofanya mafunzo kwa vitendo katika sekta ya afya wanatekeleza majukumu yao chini ya usimamizi wa Watumishi wazoefu.


Kikao hiko kililenga kupitia na kufanya tathimini ya shughuli za afya zilizofanyika katika robo ya nne 2023/2024 ambapo afua mbalimbali zimewasilishwa na kuonesha sehemu ambazo Halmashauri imefanya vizuri na sehemu ambazo Halmashauri haikufanya vizuri zimewekewa mpango mkakati wa maboresho zikiwemo huduma za mama na mtoto, huduma za dawa na vifaa tiba,huduma za chanjo, kifua kikuu na huduma zote zinazotekelezwa kwa kushirikiana na Wadau

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.