• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

ZAIDI YA SH. MILIONI 500,000,000 ZIMETOLEWA KWA VIKUNDI VINAVYONUFAIKA NA MIKOPO YA 10% YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: November 18th, 2024


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba Novemba 18, 2024 wakati akizungumza  katika hafla fupi  iliyofanyika katika ukumbi wa  Mkindigili ya kukabidhi hundi ya mfano yenye thamani ya Zaidi ya shilingi 5000,000,000 kwa vikundi vinavyonufaika na mikopo ya 10% ya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu


Mhe. Waryuba amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu utolewaji wa mikopo hiyo yenye lengo la kuwakwamua Wananchi kiuchumi ili  kuondokana na hali ya umasikini na amewataka Wanaufaika hao kuirejesha mikopo hiyo kwa wakati ili waendelee kuwa na sifa ya   kukopesheka na kutoa nafasi ya vikundi vingingine viweze kukopa katika awamu zinazofuata.


Taarifa ya utekelezaji wa mchakato wa utoaji wa mikopo hiyo iliyosomwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi Ndugu Ahobokile Songela  imeeleza kuwa tangu mwanzo mwa zoezi hilo  Halmashauri ilipokea maombi ya mikopo kutoka kwa vikundi 228 Wilayani Malinyi lakini Kamati za uhakiki wa mikopo hiyo zilifanya uchambuzi  na  kupata vikundi 59 ambavyo ndivyo vyenye sifa ya kupata mikopo hiyo katika awamu hii ya kwanza.


Ndugu Songela amesema kuwa  katika vikundi hivyo 59, vikundi 29 ni vya Wanawake, vikundi 24 ni vya Vijana na vikundi 6  ni  vya Watu wenye ulemavu na hivyo kufanya idadi ya wanavukundi kufikia  410


Akizungumza kwa niaba ya Vijana  wanaonufaika na mikopo hiyo Ndugu Vicent Lukumbo amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uwezeshaji wa mikopo hiyo, Mhe. Sebastian Waryuba kwa usimamizi  wa zoezi hilo la utoaji wa mikopo,  na Ofisi ya Mkurugezi  Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi kwa kuendesha mchakato huo wa utoaji wa mikopo tangu mwazo mpaka zoezi hili lilipokamilika.


Naye  Beatha  Usanga  muwakilishi wa vikundi vya Wanawake amemshukuru  Mhe. Dkt. Samia Suluhu  Hassan  na amesema kuwa Wanawake wa Malinyi wapo pamoja na  Mhe. Samia  Suluhu Hassan  katika nyakati zote.


Kwa upande wake  Bi Marry Malangu muwakilishi wa Watu wenye ulemavu amawataka Watu wenye ulemavu wanaonufaika na mikopo hiyo kufanya kazi kwa bidii kwani Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan hana mchezo katika kuhakikisha Wananchi wake wanajikwamua kiuchumi na kuondokana na hali ya umasikini.


Vikundi hivyo 59 vinajishughulisha na shughuli mbalimbali zikiwemo  uendeshaji wa viwanda vidogovidogo, kilimo, ufugaji, usafirishaji  pamoja na uwakala wa fedha.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.