• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

ZIARA YA KAMATI YA SIASA TARAFA YA MALINYI

Posted on: September 13th, 2024

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Malinyi imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Tarafa ya Malinyi ikiwa ni sehemu ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha CCM Wilayani Malinyi kuanzia mwezi Januari hadi Juni 2024.


Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ufungaji wa mashine ya umeme eneo la stendi ya mabasi Misegese, Uzinduzi wa visima 900 vya Mama Samia, Jengo la dharura Hospitali ya Wilaya, Mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Misegese, Mradi wa barabara Misegese-Lugala-Kiwale pamoja na mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Malinyi.


Kamati hiyo ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Malinyi imeitaka Ofisi ya Mkurugenzi kuhakikisha kuwa miradi yote ya maendeleo Wilayani Malinyi inajengwa kwa kuzingatia viwango vinavyokubalika, miradi hiyo ikamilike kwa wakati na mara baada ya kukamilika miradi hiyo itunzwe ili iweze kutumika kwa muda mrefu.


Aidha Kamati hiyo imepongeza huduma za afya zinazotolewa katika Hospitali ya Wilaya ya Malinyi na imeuelekeza uongozi wa Hospitali hiyo kutangaza huduma mbalimbali zinazotolewa katika Hospitali hiyo ili Wananchi waweze kuzifahamu na kuzitumia.


Ziara ya kamati ya Siasa ya chama cha Mapinduzi Wilayani Malinyi imeanza Septemba 13, 2024 katika Tarafa ya Malinyi, Septemba 14, 2024 Kamati hiyo itakagua miradi ya maendeleo katika Tarafa ya Ngoheranga na Septemba 15, 2024 Kamati hiyo itahihitimisha ziara yake katika Tarafa ya Mtimbira.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.