• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Malinyi District Council
Malinyi District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko/Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
      • Mipango
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ufugaji wa Nyuki
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Machine Investment
    • Skimu ya Umwagiliaji
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili Madiwani
      • Kamati ya Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Kata
      • Biro
      • Igawa
      • Itete
      • Kilosa Mpepo
      • Mtimbira
      • Malinyi
      • Njiwa
      • Ngoheranga
      • Sofi
      • Usangule
    • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Matamko ya mbalimbali
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video

ZIARA YA MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI TAIFA WILAYANI MALINYI

Posted on: October 5th, 2024

Oktoba 5, 2024 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu CCM Ndugu Fadhili Rajabu Maganya amefanya ziara ya siku moja Wilayani Malinyi ambapo ametembelea mradi wa kituo cha afya Itete mradi wa maji Itete na baadae kukamilisha ziara yake kwa kuzungumza na Wanachama wa CCM katika Ofisi ya Chama tawi la Mtimbira.


Akiwa katika Kituo cha afya Itete Ndugu Fadhili Maganya ameelekeza Uongozi wa kituo hiko kutenga chumba maalum cha Wazee ili wanapofika kituoni hapo waweze kupata huduma za afya wakiwa katika hali ya utulivu.


Aidha, Mwenyekiti huyo wa Jumuia ya Wazazi Taifa amepongeza Wataalam na wasimamizi wa mradi wa maji Itete kwa hatua uliofikia mradi huo na kuongeza kuwa mradi huo ukamilikea ndani ya wakati ili wakazi wa Itete waweze kupata huduma ya maji kama ilivyokusudiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Ndugu Fadhili Maganya pia ametoa wito kwa Wanawake, na Vijana kujitokeza kujiandikisha katika daftari la kupiga kura Oktoba 11-20 na kushiriki kwa wingi kupiga kura Novemba 27 ili kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya sita katika kuleta maendeleo Wilayani Malinyi.


Hata hivyo, Mwenyekiti huyo wa Jumuia ya Wazazi Taifa amemuomba Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba, na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Khamis Jaaphar Katimba kuwafikia Wananchi katika maeneo yao ili kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili, kufuatilia na kusimamia kikamilifu zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye Ulemavu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia yote

Habari za hivi punde

  • SERIKALI YATENGA SH. BILIONI 18 KWAAJILI YA UJENZI WA MADARAJA MAWILI WILAYANI MALINYI

    April 24, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MALINYI YAPONGEZWA KWA UKUSANYAJI WA MAPATO

    April 24, 2025
  • KESI ZOTE ZA MIGOGORO YA ARDHI SASA KUSAJILIWA NA KUSIKILIZWA MALINYI

    March 24, 2025
  • "ITISHENI MIKUTANO YA VIJIJI"

    March 20, 2025
  • Angalia yote

Video

DAS MALINYI AKIKABIDHI PIKIPIKI KWA WARATIBU ELIMU KATA
Video zaidi

Tovuti za haraka

  • Matangazo
  • Habari za Hivi punde

Tovuti Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Tovuti ya Ajira
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2022
  • Matokeo ya Kidato cha Nne
  • SALARY SLIP PORTAL
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI 2018

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi, Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi

    Postal Address: 18 Malinyi, Morogoro

    Telephone: 0643111999

    Mobile:

    Barua pepe za watumishi: ded@malinyidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2022 GWF . All rights reserved.